Unatoka Dar umejaza wese, ukifika Pwani unajaza, ukifika Moro au Mkata(Tanga) unajaza au ukifika Iringa unajaza, Makambako ( Njombe region) unajaza, ukifika Igurusi (Mbeya) unajaza, Ukifika Songwe unajaza, ukifika pale mbele kidogo nimepsahau ila ni Rukwa, unajaza...hii ni bodaboda Mpwa?