pipikijiti
JF-Expert Member
- Apr 25, 2017
- 309
- 407
Mdada anaonyesha bado motema wake haujafika mahali pake ni basi tu.kamdomo ka harmorapa nadhan anamaanisha anataman kitu na huyo mdada sijamuelewa
Kwa kweli, picha nyingi insta watu wamebinua midomo, Queen Darling anaweza akawa na majibu mazuri maana nae ni mdau sana.vijana wa siku hz saidien kututafsiria hapo![]()
hahaHahahahaaa haka kadada kamakameziba pumzi kanaogopa harufu ha hamorakiki