Hivi utumbuaji umesimama au mafisadi, wezi na wazembe wamekwisha serikalini?

kkarumekenge

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
1,708
1,026
Kwa muda sasa sijasikia fulani na fulani wametumbuliwa, iwe kwa ufisadi, wizi ama uzembe. Inawezekana watu wa aina hiyo wamekwisha serikalini. Hongereni sana.
 
Back
Top Bottom