ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,808
- 45,481
Watu wanatushauri kabla hatujaamua kuoa mke basi tumchunguze. Mtu utamchunguza vipi ikiwa hukai naye yupo kwao na wewe uko busy na kazi. Yaani unampimaje mtu huruma yake na uvumilivu wake ikiwa hamkai pamoja ili kwenye changamoto za maisha ujue reactions zake.
Mimi binafsi naona madhaifu ya mtu wa kuingia naye kwenye ndoa huwezi kuyajua eti Kwa kuwa mnawasiliana tu kwenye simu labda na kukutana mara moja moja. Nachoona mimi ni kujilipua tu ila uwe unajua utakavyoshughulikia matukio utakayopigwa ili usipate depression basi yaani uamue tu unaoa Kwa ajili ya kupata walau mtoto ndo liwe lengo namba moja. Mambo nyingine hizi zitakupasua kichwa sijui mambo ya tabia na nidhamu uongo.
Mimi binafsi naona madhaifu ya mtu wa kuingia naye kwenye ndoa huwezi kuyajua eti Kwa kuwa mnawasiliana tu kwenye simu labda na kukutana mara moja moja. Nachoona mimi ni kujilipua tu ila uwe unajua utakavyoshughulikia matukio utakayopigwa ili usipate depression basi yaani uamue tu unaoa Kwa ajili ya kupata walau mtoto ndo liwe lengo namba moja. Mambo nyingine hizi zitakupasua kichwa sijui mambo ya tabia na nidhamu uongo.