hivi uchawi kwenye mapenzi upo?

hivi uchawi kwenye mapenzi upo?

jhakuna cha dawa wala nn!! niliachwa na X nilikua nampenda kufa yaan sikuona thaman ya kuish dunian bila yy... nilitembea kwa waganga wa kila mkoa nilichoma dawa za kulala zinawaka lakin wapi.... asikudanganye mtu hakuna dawa ya mapenzi
kweli ulipenda pole sana...!!!
 
Uchawi upo kweny mapenzi tena mwingi tu. Ila mapenzi ya kishirikina huwa hayadumu milele. Yaani yana expire kutegemea na mtaalam alieshughulika na suala hilo. Zipo za mwaka, maika 2,5 mpaka 10. Ila unaweza ukajiwahi ukajikinga kwa sababu asikuambie mtu ndugu mapenzi ya dawa ni zaidi ya mapenzi ya kawaida. Mtu unavurugwa si mchezo. Naongea nna uzoefu yamenikuta.
Eb tuaabarishe vizur ndugu... ilikuaje maana nasi ndugu zetu wameshikwa tutawasaidiaje kutoka uko!!!!!
 
Back
Top Bottom