The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,426
Kimsingi, katika kesi ya 'uhaini' inayomkabili Tundu Lissu ni kama imeilemea serikali. Je, mahakama itaendelea kuwa nyumba ndogo ya wauaji au itajikomboa na kutenda haki na haki ikaonekana inatendeka?
Je, kama Tundu Lissu atashinda, itakuwaje hasa tukizingatia kuwa, kwa sasa, taifa letu limegawanywa na watawala vipofu na viziwi majizi na mafisi ya kunuka?