Hivi tunatoka wapi na tunaenda wapi kielimu....

We F1 ulisoma st.? si ulisoma kwa kina Kayumba?
Tatizo wazazi wengi wanawapeleka watoto wao st. alafu huku kwa kina Kayumba wanakufumbia macho na hawakupi msisitizo bora yeisheeeeeeeee ndo hapo chacha tutakuwa na taifa mbumbumbu miaka 20 ijayo.

Hahaha mie nimesoma ya Kayumba Fidel80 nimeisoma sana ila baba yangu alikuwa na kawadhifa kadogo upande wa elimu ..nilibahatika ..
 
Hahaha mie nimesoma ya Kayumba Fidel80 nimeisoma sana ila baba yangu alikuwa na kawadhifa kadogo upande wa elimu ..nilibahatika ..
mie jamani nimesoma hizo hizo St. halmashauri lakini anagalau zilikuwa reliable sio kama siku hizi.............
 
FL1, Asante kwa kuliona hilo tatizo. Hili ni tatizo sugu litakalosumbua taifa kwa sasa na kizazi kijacho. Nakumbuka kuna usemi wa baba wa taifa usemao - (mtanzania bado hana elimu mbadala ya kuchimba madini, tuyawache huku chini maana hayaozi na wakati ukifika mtanzania mwenyewe atayachimba wakati akiwa na hio elimu ) Hapa nazungumzia elimu ambayo mpaka sasa mtanzania hana na serikali imelifumbia macho swala hili la elimu. Mkazo wa kujenga shule za kata pasipo na walimu wenye taaluma ya kutosha ina maana gani ?? unakua na ( majengo + wanafunzi + walimu voda fasta tena wawili shule nzima = uwiiiiiiiii sifuri ) Serikali lazima ibadilike kuhusu suala la elimu, mtanzania asipokua na elimu madhubuti ni kwamba taifa linaangamia !!! something has to be done somewhere hukoo mjengoni Do..

Thatha huko mjengoni kama Richmond wameichimbia..
mashirika yanayokufa wanayachimbia

Elimu sijui................?
 
Mmh nafikiri pembeni kuna mto wenye mamba, viboka na bahari yenye papa na nyangumi.

you have said all my dear, sasa uniambie kama una pakugeukia kama si kukata tamaaa usubirie anayekuwahi................
 
you have said all my dear, sasa uniambie kama una pakugeukia kama si kukata tamaaa usubirie anayekuwahi................

tatizo ni kuwa kadri tunavyozidi kulala iko siku watu wataamka vichaa pakawa hapatoshi maana siye hatuna tena pa kukimbilia. Majirani zetu wanaotuzunguka wote tumewapokea makambini, wengine tumewasaidia kupata uhuru, na mambo mengi mazuri tunayo ya kujivunia kwao lakini je siku patakapokuwa hapatoshi wanaweza kweli kutupokea?

Maana hao majirani zetu kielimu naona wanakwenda kasi tena wanaitafuta kwa bidii sio ya kufoji ukizingatia wengine kama Rwanda wametoka kwenye vita lakini si haba wanajitajidi kuvuta kasi maana wanajua wanachokifanya kwa manufaa ya nchi yao. je sisi?

Huenda ndio wa kawa wa kwanza kusema si mlikuwa mnajidai eti pici, pici sasa kikowapi wakatucheka na kutuzodoa.
 
tatizo ni kuwa kadri tunavyozidi kulala iko siku watu wataamka vichaa pakawa hapatoshi maana siye hatuna tena pa kukimbilia. Majirani zetu wanaotuzunguka wote tumewapokea makambini, wengine tumewasaidia kupata uhuru, na mambo mengi mazuri tunayo ya kujivunia kwao lakini je siku patakapokuwa hapatoshi wanaweza kweli kutupokea?

Maana hao majirani zetu kielimu naona wanakwenda kasi tena wanaitafuta kwa bidii sio ya kufoji ukizingatia wengine kama Rwanda wametoka kwenye vita lakini si haba wanajitajidi kuvuta kasi maana wanajua wanachokifanya kwa manufaa ya nchi yao. je sisi?

Huenda ndio wa kawa wa kwanza kusema si mlikuwa mnajidai eti pici, pici sasa kikowapi wakatucheka na kutuzodoa.

peace my foot!!! nachukia kweli mtu akitumia halo ka-defence eti peace.....
mi nalala macho sijui wanangu watasomaje, watakulala nini, watalala wapi afu unaniambia nina amani..ipi hiyo????
wa kwanza atakuwa wa mwisho
rwanda haoooooooooooooooooooooooooo pamoja na vita walopigana tutaachwa sie hivi hivi
 
peace my foot!!! nachukia kweli mtu akitumia halo ka-defence eti peace.....
mi nalala macho sijui wanangu watasomaje, watakulala nini, watalala wapi afu unaniambia nina amani..ipi hiyo????
wa kwanza atakuwa wa mwisho
rwanda haoooooooooooooooooooooooooo pamoja na vita walopigana tutaachwa sie hivi hivi
u're right wa kwanza mara nyingi huwa wa mwisho.
 
salams,mimi naona swala la elimu si kuangalia quantities in terms ya demand na supply bali qualities in terms of demend na supply.
nachojaribu kusema ka kifupi ni kuanza mwanzo kabisa from zero.kama kujiuliza bila hisia za woga,au aibu,kujifananisha,kuiga n.k.je elimu ni nini?then tuende kwenye mambo mengine kama miundo,lugha,ubora,utoaji,walengwa.n.k.kwani nafikiri watu wengi tuna kata matawi mengi ya ujinga tunaacha shina linaendelea kuotesha matawi bora zaidi ya ujinga,imagine tungekata shina la ujinga?hata swala la kutumia lugha za kigeni chuoni au shuleni kama njia kuelimisha.tulijadili tukiangalia mahitaji yetu,mazingira,uwez
 
ukitaka kujua elimu yetu inakwenda wapi.........mbele au nyuma!!! Wewe soma tu thread iliopo hapa ilioandikwa na salehe ndada ndo utajua elimu yetu inakwenda wapi.
 
FL1 na wengine,

Hakuna kitu rahisi kama kuboresha elimu katika nchi hii. Tatizo Usanii umetuzidi kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom