FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
- #21
We F1 ulisoma st.? si ulisoma kwa kina Kayumba?
Tatizo wazazi wengi wanawapeleka watoto wao st. alafu huku kwa kina Kayumba wanakufumbia macho na hawakupi msisitizo bora yeisheeeeeeeee ndo hapo chacha tutakuwa na taifa mbumbumbu miaka 20 ijayo.
Hahaha mie nimesoma ya Kayumba Fidel80 nimeisoma sana ila baba yangu alikuwa na kawadhifa kadogo upande wa elimu ..nilibahatika ..