FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
jipu la kwapa hili mama, ukiinua mkono linauma ukishusha mkono linauma...............
inauma si kipole pole unabaki kutembea kama baunsa, we acha tu sisy.jipu la kwapa hili mama, ukiinua mkono linauma ukishusha mkono linauma...............
Hayo uliyosema Sisy FL1 yanaukweli mtupu lakini hatma yake itakuwa kama kuimba wimbo wataifa sidhani kama kutatokea solution as time goes by its becoming even worst kwenye sekta ya elimu.
Hayo uliyosema Sisy FL1 yanaukweli mtupu lakini hatma yake itakuwa kama kuimba wimbo wataifa sidhani kama kutatokea solution as time goes by its becoming even worst kwenye sekta ya elimu.
Na ndio maana tunasema Tanzania ni taifa linalokufa taratibu...a slowly dying nation. Ukiua Elimu na kisha ukaacha hata utamaduni wako na lugha yako ukafuata kila kitu cha kigeni kuendelea ni ndoto.
Angalia mataifa yote yaliyoendelea iwe miaka 1000 iliyopita au hata miaka ya karibuni kama China, India na Korea. Wametunza utamaduni wao (CULTURE) na wamewekeza kwenye rasilimari watu...yaani elimu!
Sisi tuna viongozi wanaoweza kusafiri masaa zaidi ya 24 kwenda kubembea na kupiga picha na wanamichezo maarufu. Halafu baada ya hapo unamwomba msaada wa kuja kufundisha riadha Tanzania! Yaani akili zetu zimedumaa, zinawaza kuomba omba tu, badala ya kujikombia kiuchumi!
Binafsi naona elimu yetu imepanuka zaidi na changamoto ni jinsi ya kukabiliana na upanukaji huoo kwa kuwa na mipango bora na imara.
Kwa sasa vijana/watoto wengi zaidi wanapata nafasi ya elimu kuanzia msingi, sekondari mpaka vyuo. changamoto ya ubora hasa kuwa na walimu wa kutosha na waliofuzu vema kwa malipo ya kuridhisha, makazi bora na miundo mbinu ya kuvutia pamoja na zana za kufundishia badoo ni swali pevu kupata majibu kwa wakatii.
binafsi nimefarijika sana na upanuzii wa elimu na matokeo yake ni changamoto ya wadau wote serikali ikiwa ndio kiongozi .
Na ndio maana tunasema Tanzania ni taifa linalokufa taratibu...a slowly dying nation. Ukiua Elimu na kisha ukaacha hata utamaduni wako na lugha yako ukafuata kila kitu cha kigeni kuendelea ni ndoto.
Angalia mataifa yote yaliyoendelea iwe miaka 1000 iliyopita au hata miaka ya karibuni kama China, India na Korea. Wametunza utamaduni wao (CULTURE) na wamewekeza kwenye rasilimari watu...yaani elimu!
Sisi tuna viongozi wanaoweza kusafiri masaa zaidi ya 24 kwenda kubembea na kupiga picha na wanamichezo maarufu. Halafu baada ya hapo unamwomba msaada wa kuja kufundisha riadha Tanzania! Yaani akili zetu zimedumaa, zinawaza kuomba omba tu, badala ya kujikombia kiuchumi!
inaumiza sana jamani, wengi wetu ndio tunapata madhara haya maana hatuwezi kulipia hiyo elimu bora. tunaendelea kutanua lile duara la umasikini (poverty cycle)
the other day Masaki I trust you red about mwl Hassani wa huko sijui Rufiji
bado najaribu kufikiria future ya wale watoto baada ya elimu wanayopat
aaaaaaaaaaaahhhh bwana wee ngoja tuendelee kuwa mzoga unaotembea....
mbaya zaidi watu ambao ni ''greedy'' wanatumia hiyo umasikini wa mali na mawazo wa watanzania kama mtaji wa kisiasa! Yaani kuwatoa watanzaia kwenye lindi la umasikini kutamaanisha kuwa na ugumu kwenye kuwadanganya wakati wa kampeni!
taifa hili linahitaji maombi! Aliyetunga wimbo wa taifa letu aliona mbali, maana tunaishi kwa kudra za mungu tu!
am kinda tired.....................
We F1 ulisoma st.? si ulisoma kwa kina Kayumba?
Tatizo wazazi wengi wanawapeleka watoto wao st. alafu huku kwa kina Kayumba wanakufumbia macho na hawakupi msisitizo bora yeisheeeeeeeee ndo hapo chacha tutakuwa na taifa mbumbumbu miaka 20 ijayo.
Its too early to get tired my dear!
Nikianza kuwaza matokea mabaya ya watoto wetu yaliyopita ..sisi kama wazazi tumejifunza vip juu ya hili..
Naikumbuka sana elimu ya zamani waliyo soma mababu na baba zetu ..