CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
Katika risala yao kwa mgeni rasmi, katibu mkuu wa TUCTA alisikika kutoa ombi kwa mgeni rasmi kuhusiana na uwiano wa wanafunzi wa kike na wale wa kiume vyuoni.
Kwamba, wanafunzi wa kiume ni karibu mara mbili ya wanafunzi wa kike. Kwa hiyo ombi likatolewa ili idadi ya wanafunzi wa kike ipande juu.
Walikuwa na maana gani hawa TUCTA kwa hili?
Kwamba, wanafunzi wa kiume ni karibu mara mbili ya wanafunzi wa kike. Kwa hiyo ombi likatolewa ili idadi ya wanafunzi wa kike ipande juu.
Walikuwa na maana gani hawa TUCTA kwa hili?