Hivi Tecno ni simu au ni Camera?

Mimi siwezi kudharau tecno. Simu yangu ya kwanza kununua kwa boom langu enzi hizo ni tecno P3....mpya kabisa. 145k enzi hizo.

Nikahamia Samsung
Kisha Samsung tena
Sasa hivi nipo Infinix ina mwezi tu.
 
Mimi siwezi kudharau tecno. Simu yangu ya kwanza kununua kwa boom langu enzi hizo ni tecno P3....mpya kabisa. 145k enzi hizo.

Nikahamia Samsung
Kisha Samsung tena
Sasa hivi nipo Infinix ina mwezi tu.
Sasa infinix ndio umemkimbiaje tecno?
 
Ni camera
 
mtoa mada ushawahi kuona matangazo ya Iphone??
 
hivi matangazo ya simu za akina samsung hawaonyeshagi camera na mapichapicha??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…