The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 5,082
- 20,806
- Thread starter
-
- #21
Unatakiwa ujiamn, hakuna aliedharau watumiaji wa tecno ila nimeuliza nieleweshwe, kwani kuuliza siku hizi hakuruhusiwi? Ukiuliza tu kufahamishwa ndio watu waseme umedharau.Daah unadharau kinoma any way Ipo hivi kwa sisi watumiaji wa tecno tuna zitumia kama simu yani kufanya mawasiliano
Je ni kipi unacho weza kufanya wewe mtumiaji wa wa izo sijuh sumsung ambacho mimi Mwenye tecno ya p5 siwez kukifanya? Ambacho ni primary?
Kwani nikitumia tecno kuna tatizo? Au nimeingilia maisha ya mtu?
Tatizo moja mnakariri maisha kwamba watumiaji wa simu za tecno wana uchumi mbaya kumbe ni kinyume chake
Na sijui kama niliquote weweHighest level of imferiority complex.
Nani kasema amedharau watumiaji sa Tecno, mimi nimeuliza, wewe unasema nimedharau, nimedharau wapi?
Wewe Umesema Hutumii Simu Za Tecno Sasa Hata Tukikujibu Itakusaidia Nini?. Watumia Tecno Ndio Tunajua Kama Tunacho kinunua Ni Simu Au Camera.
Wewe Baki Na Samsung Yako Sisi Acha Tuendelee Na Tecno Zetu.
Team Tecno Tukutane Hapa.
kuna kampuni zipo nchini kukusanya mitaji ili kwenda kwao.sizani kama tecno utaikuta nchi za ulaya.angalia kuanzia simu zaoMimi ni mtumiaji wa simu na mpenzi wa simu za samsung s series au note series.
Kuna hizi simu za tecno, naona watu wengi wanazo na wanatumia kuwasiliana, ila kama unavyojua hizi digital devices zinaweza kua mult purpose.
Ndio maana nauliza hizi tecno ni kamera au ni sim, yaani primary function zake ni nini, camera kwa ajili ya picha au sim kwa ajili ya mawasiliano.
Kama ni simu maana yake primary function zake ni mawasiliano na picha hua ni secondary, lakini naona matangazo yake ni more of pictures kuliko ubora katika mawasiliano.
Kila nikiona tangazo la tecno naona ni megapixel tu na mapicha, ndio maana nikashindwa kuewa hizi hua ni simu au camera zenye uwezo wa simu?
Kuuliza sio ujinga wakuu na aulizae anataka kufaham.
Acha ujuaji wa kijinga! Yaani unakiri kwamba unaona watu wakizitumia kwa mawasiliano alafu unauliza ni camera au ni simu?
Basi tukujibu kwamba ni camera za mawasiliano
Wewe Umesema Hutumii Simu Za Tecno Sasa Hata Tukikujibu Itakusaidia Nini?. Watumia Tecno Ndio Tunajua Kama Tunacho kinunua Ni Simu Au Camera.
Wewe Baki Na Samsung Yako Sisi Acha Tuendelee Na Tecno Zetu.
Team Tecno Tukutane Hapa.
Uwezo wako huo ni kiasi gani mkuu?Natumia tecno hapa, ndo Simu ya uwezo wangu Mimi...siwezi dharau wengine kwa7b wanatumia Simu kulingana na uwezo wao
Umeweza kuvunja mbavu zanguUkipigwa picha na camera ya tecno jinsi unavoonekanaView attachment 976294
... Ni fridge.Mimi ni mtumiaji wa simu na mpenzi wa simu za samsung s series au note series.
Kuna hizi simu za tecno, naona watu wengi wanazo na wanatumia kuwasiliana, ila kama unavyojua hizi digital devices zinaweza kua mult purpose.
Ndio maana nauliza hizi tecno ni kamera au ni sim, yaani primary function zake ni nini, camera kwa ajili ya picha au sim kwa ajili ya mawasiliano.
Kama ni simu maana yake primary function zake ni mawasiliano na picha hua ni secondary, lakini naona matangazo yake ni more of pictures kuliko ubora katika mawasiliano.
Kila nikiona tangazo la tecno naona ni megapixel tu na mapicha, ndio maana nikashindwa kuewa hizi hua ni simu au camera zenye uwezo wa simu?
Kuuliza sio ujinga wakuu na aulizae anataka kufaham.
huyo mtu aliyepigwa picha na Tecno ndivyo alivyoπππππ
Daah unadharau kinoma any way Ipo hivi kwa sisi watumiaji wa tecno tuna zitumia kama simu yani kufanya mawasiliano
Je ni kipi unacho weza kufanya wewe mtumiaji wa wa izo sijuh sumsung ambacho mimi Mwenye tecno ya p5 siwez kukifanya? Ambacho ni primary?