Hivi SITTA Kapata wapi UKUU WA NCHI?!!!

Hivi SITTA Kapata wapi UKUU WA NCHI?!!!

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
Wakuu bado namtafakari huyu Mzee!

(1) Ana kiburi cha kauli, utadhani ndie Raisi.

(2) Raisi alikutana na wajumbe wa vyama mbalimbali vya siasa
na wakakubaliana kuhusu nini kiendelee kuhusu mchakato
wa katiba unaoendeleà, Cha ajabu Sitta naye akatoka na
tamko na msimamo wake!.

(3) Leo kura zimepigwa kwa mujibu wa sheria, Waliokubali
wamekubali na waliokataa wamekataa kwa haki yao,
Cha kushangaza huyuhuyu Sitta anaratibu vitisho dhidi ya
wajumbe hao waliokataa!!

NAULIZA, Udikteta huu wa Sitta Kapewa na nani?
 
Wakuu bado namtafakari huyu Mzee!

(1) Ana kiburi cha kauli, utadhani ndie Raisi.

(2) Raisi alikutana na wajumbe wa vyama mbalimbali vya siasa
na wakakubaliana kuhusu nini kiendelee kuhusu mchakato
wa katiba unaoendeleà, Cha ajabu Sitta naye akatoka na
tamko na msimamo wake!.

(3) Leo kura zimepigwa kwa mujibu wa sheria, Waliokubali
wamekubali na waliokataa wamekataa kwa haki yao,
Cha kushangaza huyuhuyu Sitta anaratibu vitisho dhidi ya
wajumbe hao waliokataa!!

NAULIZA, Udikteta huu wa Sitta Kapewa na nani?

Mpuuzeni tu jamani watanzania wenzangu, mzee hovyo sana huyu
 
Wakuu bado namtafakari huyu Mzee!

(1) Ana kiburi cha kauli, utadhani ndie Raisi.

(2) Raisi alikutana na wajumbe wa vyama mbalimbali vya siasa
na wakakubaliana kuhusu nini kiendelee kuhusu mchakato
wa katiba unaoendeleà, Cha ajabu Sitta naye akatoka na
tamko na msimamo wake!.

(3) Leo kura zimepigwa kwa mujibu wa sheria, Waliokubali
wamekubali na waliokataa wamekataa kwa haki yao,
Cha kushangaza huyuhuyu Sitta anaratibu vitisho dhidi ya
wajumbe hao waliokataa!!

NAULIZA, Udikteta huu wa Sitta Kapewa na nani?

Mkuu wa nchi yupo nje so sitta amejipa cheo cha kukaimu
 
Rejea msemo huu:
"Ukimuona kobe juu ya mti.Ujue amepandishwa...."
JF inanifanya najisikia furaha ndani yangu.........nashauri wenye misongo ya mawazo mukatize huku, mutapata tiba na elimu ndani yake.
 
Namshauri Rais akirudi amtimue sitta uwaziri kwa kulisababishia taifa hasara ya mabilioni ya shilling huku akijua wazi kuwa akidi haitoshi na katiba haitapatikana.
 
Back
Top Bottom