Kama sio mpigaji awazue ya nini sasa.Aliyesema atauwa upinzani kaondoka kauacha upinzaniKatika hali isiyotarajiwa na wenge Mama ameanza vizuri sana kuanzia aliposhika kijiti kuingia uwanjani, kwanza akaipaisha jinsia ya kike kuwa inaliweza kulisakata gozi.
Na ndani ya masaa machache akaachia shuti baya sana upande wa TPA na likamng'oa mtu na hapo hapo akajigeuza na kuangalia winga ya kushoto TAMISEMI nako ni hatari sana.
Nauliza kiuharisia kuwa kama Mzee baba akuwapa hata pumzi ya kubetua tu je Mama atawaruhuusu wapinzani hili nao waanze kupasha misuri, hasa ukizingatia kuwa misuri yao imepoa sana kwa kukaa benchi kwa muda mrefu.