Hivi PM sasaivi hakuna tena JF?

Mzee makoti

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
5,091
Reaction score
7,804
Wakuu nna tatizo sijui ni mimi au kwa wengine pia,nikitaka kufungua PM nakutana na kitu kama nilivyoweka hapo chini,na mimi natumia browers ya Phonex
 

Attachments

  • Screenshot_20240812-142937.png
    52.1 KB · Views: 11
Wakuu nna tatizo sijui ni mimi au kwa wengine pia,nikitaka kufungua PM nakutana na kitu kama nilivyoweka hapo chini,na mimi natumia browers ya Phonex
Hiii infinx sio? Kawaida kwa cm kma infinx kutofungua pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…