leo nimeshtushwa na uwezo wa Mh Ole Sendeka kama kiongozi! bAADA YA KUONA pROF lIPUMBA ANA TIRIRKA HOJA ZA ZA KISOMI ! Huyu Mh aliamua kuomba mwongozo kuwa eti kwa sababu Mh Lipumba anatoa ufafanuzi tu basi asisome! bali aongee tu !Katika akili ndogo kabisa hiyo ni hoja ya kijnga kabisa.Nimejiuliza hivi huu ushabiki uliotopea unawanyiama watu wazima hata fursa ya kutafakari au ni elimu ndogO ! kwa kweli CCM KWA HOAJ ZA AINA ILE NI KUJIDHALILISHA! AU MMEZOEA HOTUBA ZA MKUU WA KAYA AMBAZO HATA AKIANDIKA HUWA ANACHEPUKA NA KUANZA KUONGEA YAKE !NA ATHARIZAKE MNAZIJUA! POOR OLE SENDEKA TANZANIA INABADILIKA KWA KASI WEWE NA WENZIO MMELALA PONO