Hivi Ole Sendeka ana kiwango gani cha elimu!

Hivi Ole Sendeka ana kiwango gani cha elimu!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
8,098
Reaction score
10,945
leo nimeshtushwa na uwezo wa Mh Ole Sendeka kama kiongozi! bAADA YA KUONA pROF lIPUMBA ANA TIRIRKA HOJA ZA ZA KISOMI ! Huyu Mh aliamua kuomba mwongozo kuwa eti kwa sababu Mh Lipumba anatoa ufafanuzi tu basi asisome! bali aongee tu !Katika akili ndogo kabisa hiyo ni hoja ya kijnga kabisa.Nimejiuliza hivi huu ushabiki uliotopea unawanyiama watu wazima hata fursa ya kutafakari au ni elimu ndogO ! kwa kweli CCM KWA HOAJ ZA AINA ILE NI KUJIDHALILISHA! AU MMEZOEA HOTUBA ZA MKUU WA KAYA AMBAZO HATA AKIANDIKA HUWA ANACHEPUKA NA KUANZA KUONGEA YAKE !NA ATHARIZAKE MNAZIJUA! POOR OLE SENDEKA TANZANIA INABADILIKA KWA KASI WEWE NA WENZIO MMELALA PONO
 
leo nimeshtushwa na uwezo wa Mh Ole Sendeka kama kiongozi! bAADA YA KUONA pROF lIPUMBA ANA TIRIRKA HOJA ZA ZA KISOMI ! Huyu Mh aliamua kuomba mwongozo kuwa eti kwa sababu Mh Lipumba anatoa ufafanuzi tu basi asisome! bali aongee tu !Katika akili ndogo kabisa hiyo ni hoja ya kijnga kabisa.Nimejiuliza hivi huu ushabiki uliotopea unawanyiama watu wazima hata fursa ya kutafakari au ni elimu ndogO ! kwa kweli CCM KWA HOAJ ZA AINA ILE NI KUJIDHALILISHA! AU MMEZOEA HOTUBA ZA MKUU WA KAYA AMBAZO HATA AKIANDIKA HUWA ANACHEPUKA NA KUANZA KUONGEA YAKE !NA ATHARIZAKE MNAZIJUA! POOR OLE SENDEKA TANZANIA INABADILIKA KWA KASI WEWE NA WENZIO MMELALA PONO

Kwa hiyo kilichokuchukiza wewe ni Ole Sendeka kuomba mwongozo tu au kuna kingine?
 
Kwa hiyo kilichokuchukiza wewe ni Ole Sendeka kuomba mwongozo tu au kuna kingine?

We uliona Olesendeka alikuwa sawa.....

Hapa suala sio muongozo aliomba maana kila mtu ana haki ya kuomba muongozo kama Kanuni zinavyoeleza...
Alichoongea Olesendeka ni aibu tupu....Sasa na wewe kama unam-support huyo Olesendeka na wewe ni mpuuzi tuu....

Halafu unajua nakudharau sana...Pia unajidhalilisha...Halafu naona sio mod tena...Afadhali wamekuengua maana ni aibu tupu...Akili yako ni fupi sana, huna tofauti na Olesendeka....
 
Eti alikuwa mod huyo...ptuuuuu...Sijui Mexene alitokana wapi na huyu takataka..

Haiwezekani !!!!!!

Sasa alikuwa ana moderate nini kama style ya kujibu ndio hii......no wonder malalamiko ya watumiaji kuhusu kufutwa kwa thread na kama hayo ni mengi.
 
Ole Sandeka hata angekuwa na kiwango cha elimu ya udaktari (yaani PhD) bado ataendelea kuonekana kama mtu mwenye elimu chini ya elimu ya watu wazima! In short watu aina ya Ole Sandeka ndani ya CCM ni wengi sana, sema wanabebwa na mfumo uliopo madarakani otherwise hawastahili hata Mjumbe wa nyumba kumi kumi. Huwezi piga propaganda ndani ya bunge maalumu la katiba ya watanzania. Bunge maalumu ni sehemu ya kushindana kwa hoja za nguvu na hoja itakayoshinda ipigiwe kura ya haki na ipite lkn sio kinachotokea Dodoma. Katiba ya nchi kamwe haiwezi kuchezewa kama wanavyofanya wajumbe wa bunge maalumu pale Dodoma. Wabunge wa CCM wanashangaza sana, wanataka kutengeza katiba cha uzao wao tu, hawajui kesho wao na watoto wao wasiwe ndani ya huu mfumo wanaoutetea sasa. Hawajui kuwa siasa hazina rafiki wa kudumu ila masilahi ya kudumu. Leo huko CCM mwakani kwenye uchaguzi mkuu uko nje ya mfumo! Nakuhakikishia wabunge wengi wa CCM ipo siku mbeleni yatakuja juta usaliti wanaofanya kwa kudharau maoni ya wananchi kupitia tume ya raisi ya Jaji Warioba kuhusu rasimu ya pili ya katiba mpya tunayoitaka kama taifa.
 
Ole Sandeka hata angekuwa na kiwango cha elimu ya udaktari (yaani PhD) bado ataendelea kuonekana kama mtu mwenye elimu chini ya elimu ya watu wazima! In short watu aina ya Ole Sandeka ndani ya CCM ni wengi sana, sema wanabebwa na mfumo uliopo madarakani otherwise hawastahili hata Mjumbe wa nyumba kumi kumi. Huwezi piga propaganda ndani ya bunge maalumu la katiba ya watanzania. Bunge maalumu ni sehemu ya kushindana kwa hoja za nguvu na hoja itakayoshinda ipigiwe kura ya haki na ipite lkn sio kinachotokea Dodoma. Katiba ya nchi kamwe haiwezi kuchezewa kama wanavyofanya wajumbe W bunge maalumu pale Dodoma. Wabunge wa CCM wanashangaza sana, wanataka kutengeza katiba cha uzao wao tu, hawajui kesho wao na watoto wao wasiwe ndani ya huu mfumo wanaoutetea sasa. Hawajui kuwa siasa hazina rafiki wa kudumu ila masilahi ya kudumu. Leo huko CCM mwakani kwenye uchaguzi mkuu uko nje ya mfumo! Nakuhakikishia wabunge wengi wa CCM ipo siku mbeleni yatakuja juta usaliti wanaofanya kwa kudharau maoni ya wananchi kupitia tume ya raisi ya Jaji Warioba kuhusu rasimu ya pili ya katiba mpya tunayoitaka kama taifa.

Mkuu umenena! Huyo Ole-sendeka ndo jembe la CCM la kukanusha kila hoja inayokinzana na matakwa yao. Kumbuka wakati wa kujadili na kupitisha kanuni, ni Sendeka, Mwaimu na Serukamba ndio walikuwa wasemaji wakuu wa CCM karibu muda wote, naona alitaka apate nafasi kama alizokuwa akipewa na Kificho.

Nilimuona Mh. Mwakyembe akitikisa kichwa kuafiki maneno ya Mh. Lipumba, mara j.i.n.g.a kubwa Sendeka likaomba mwongozo na kuongea u.t.u.m.b.o mtupu. Lakini Sitta alielewa somo na kumruhusu Prof. Lipumba kuendelea kutiririka. Kwa wajumbe kama Sendeka, Kazi tunayo!
 
Natafakari nafikiri kipindi ole sendeka anasoma alisoma mpaka darasa la 4 akavurugwa na kunusa mavi ya ngombe wakati akichunga na kutembea umbali mrefu kunywesha maji mifugo, ndio maana hata kufikiri kwake inakua ngumu, ndio maana anaamka na kuomba mungozo akifikiri watu aliomo nao ni mifugo.
 
Tuna kazi kubwa na ngumu sana waTZ ya kuwaeleimisha wote wenye fikra kama za Ole Sendeka...! Mungu atusaidie Tupate katiba mpya
 
Form IV Monduli Secondary, Form Six Moshi Sec (Division Zero ya PCB).
 
We uliona Olesendeka alikuwa sawa.....

Hapa suala sio muongozo aliomba maana kila mtu ana haki ya kuomba muongozo kama Kanuni zinavyoeleza...
Alichoongea Olesendeka ni aibu tupu....Sasa na wewe kama unam-support huyo Olesendeka na wewe ni mpuuzi tuu....

Halafu unajua nakudharau sana...Pia unajidhalilisha...Halafu naona sio mod tena...Afadhali wamekuengua maana ni aibu tupu...Akili yako ni fupi sana, huna tofauti na Olesendeka....

Hahahaha, huyo mshikaji namuonea huruma sana, yaani leo nimesoma comments zake, na zote ni za ushabiki wa kijinga na zote wanamueleza kaenguliwa kuwa mod, poor him or her whatever the sex.
 
Back
Top Bottom