Hivi nyie wanaume mnawezaje kulea na kusomesha watoto wa wanaume wenzenu kwenye shule za private

MUNGU alivyo fundi hata pesa ya kusomesha watoto wako Halali utakosa..Kwa moyo na namna hii ni ngumu kufanikiwa ndugu yangu
kaka hatujuani ila namshukuru Mungu shida ndogo ndogo sina.Ila siwezi hata shule za kayumba kusomesha mtoto wa mwanamke na baba yake yupo hicho ni kihelehele.Bora hata usomeshe yatima.Hivi kweli unahangaika kusomesha mtoto wakati baba yake yuko huko na mwanamke mwingine na anakula bata ww unajipa majukumu huo ufala sifanyi ww.
 
Kwaio umeona jamaa kisa MAKU,aende kichwa kichwa augue mbele,mtu kujipangia matumizi ya pesa zake sio kwamba hana hela
Hapa JF kila mtu anakua tajiri mtu asipo kubaliana na wazo au mada yako atakubatiza umasikini tu,......ila mimi na heshimu kila shilling yangu siwezi kuiweka mahara ambapo nafsi inakua na wasiwasi.
 
Maisha yangu ya kubangaiza lakini nasaidia watoto watatu shule hizi zetu za sekondari, siwajui na hawanijui. Hata wewe huenda ulipofika umesaidiwa na watu wasiokujua.
Tofautisha kusaidia without interest
na kumfundishia mwanamke mtoto wake ambaye mama yake uko nae kwa mahusiano.

Huruma tunazo sana

Ila usimpeleke shule mtoto wa mwanaume mwenzio ikiwa baba yake yupo

Huku ukijifanya una uwezo utakuja kulia. Trust me
 
Kama baba yao yupo ama baba zao wadogo wapo siwezi fanya ujinga km huu.Wanaume tunakufa kwa kujipa majukumu yasiyo yetu kisa maku!? .Kuna jamaa yangu nilimwambia ww umeoa singo maza utakuja kulia si mda akajifanya kuziba masikio na kuanza kusomesha watoto.Mtoto wa kike mkubwa alipo maliza shulekapata kazi na akapata mchumba ujinga ulianzia hapa maana baba yao mzazi alikua hataki hata kupokea simu acha kutuma hela.Mtoto kapata mchumba kaenda kumtambulisha kwa baba mzazi msela wangu akawa anasikia tu watu wakala mahali hata sh tano hakupata wakati alianza kumhudumia yule binti akiwa darasa la nne mpaka chuo.Ukiangalia kingine cha kiume nacho ndo kilikua kinamalza form six jamaa yangu chake ndo kilikua kiko la tano.Jamaa aliamua kuachana na huyo singo maza baada ya kuona wamerudisha ukaribu na mmewe wa zamani lakini jamaa aliumia sana maana gharama alizo tumia kwa wale watoto harafu watoto hawana time nae yaaan mpaka sasa hata time na jamaa hawana jamani tuacheni kimbele mbele
Hivi visa viko vingi humu mtaani...
 
Tatizo unampa mtoto treatment nzuri, elimu nzuri kama mtoto wa kuzaa, then siku moja unashangaa no one is recognising you.

Niliona kwenye sherehe ya harusi, all recognition ni kwa mama na baba, mzee wa kambo hana chake hadi mtoto akaamua kufanya recognition maana yeye ndio anajua thamani ya baba wa kufikia.
Haya mambo ni upuuzi mtupu...

Huwezi kumwita mtoto wa kambo ni wako hata siku moja kama baba yake yupo hai na baba zake wadogo wanamfahamu huyo mtoto!

Utakuja kujiona bwege wa mwisho.

Damu ni tofauti na vimsaada ambavyo ulikuwa unatoa wakati akiwa mdogo.



Mama yake atatumia nguvu kubwa kuiambia jamii "huyu (wewe mume) ndio alinitunzia mtoto wakati mume wa kwanza alivyo ondoka
na wewe utavimba kichwa!!


Iko siku utakuja kushuhudia ujinga mkubwa pale utakapogundua mke wako huwa wanawasiliana na x mume wake!

na si ajabu wanakutana kwenye matukio ya kijamii like misiba, sherehe etc


Huenda mkikorofishana anamkumbukaga baba mtoto wake pengine hutaftana na kufarijiana (hivi visa viko sana kwenye hii jamii yetu)



Wanaosema kuishi na single mother utaahira hawajakosea.
 
Maskin mna kelele sana na gubu,hujui unaweza msomesha huyo mtoto,riziki zaki zikawa zinafunguka tu,na akakusaidia uzeen ,kuliko wanao wa damu .
 
Maskin mna kelele sana na gubu,hujui unaweza msomesha huyo mtoto,riziki zaki zikawa zinafunguka tu,na akakusaidia uzeen ,kuliko wanao wa damu .
Kwanini hixo rizki zisifunguki kwa kusomesha wanangu wa kuzaa wewe bibie jua kwamba charity bigins at home.........kwanini ufundishe wstoto wa mwanaume mwezio hariakua wewe unao wakwsko ni ujinga huo
 
babaake yuko wap kwan na anafanya nn? Hyo nadhani ita determine sana maamuzi.

How can u call yo self a man yet u dont take care of yo offsprings??😥 Aibu.
 
Baadhi ya hawanaga shukrani mwisho wa siku wanatafuta na kuhudumia baba zao na mbaya zaidi wakifanikiwa mama zao wanaanzisha mazingira ya kuwajengea uadui na wewe Ili usipate msaada kwao.

Kwenye akili ya mwanamke hata ufanye nini huyo si mali yako atakuhusisha tu kama daraja akishafanikiwa utatenganishwa naye mbali
Mzee wangu alisomesha watoto wa hawala kamjengea hawala in the end of the day/ mwisho wa sikuu watoto hao walimfukuza Mzee Kwa mama Yao Mzee alirudi Kwa mke wake halisi
 
Tuanzie hapa Kwanza una Hela kweli ? Usije kuwa unatufunga kamba jiulize wale wanaasili watoto, kumsomesha mtu Baki alafu unazungumzia watoto wa mwanamke anayekupa mambo adhimu uoni unakustiri bas nawe stiri watoto Kwa kulipia izo ghalama maisha yako hivyo mkune anayekukuna
 
Siwezi kufanya kitu kinachopinzana na instinct yangu siwezi kulazimisha jambo, kulipia 4m@ kila mwaka kwa watoto wawili wa mke au previously (singo maza), wenye majina ya mwanaume aliekuwa anamlala na kumzalisha huyu mke wa sasa, mbona akili zinagoma, sawa ebu nionekane uncivilised mshamba, ila pesa ikihama hamna atakae somesha wa kwangu.

je incase mimi ni kitoka kuna mwanaume ataweza kuhudumia wa kwangu alipie 4m kwa mwaka, kwa waswahili hawa hawa wa sio heshimu education, masuali mengi majawabu machache loh!!!

Bora waende shule za st. kayumba ntampa 2000 kila jmosi ya tuition kwa mualimu Juma hapa mtaani. Kama mwanamke anaona sio fresh bora asepe sitakua Fala buana, wanawake hawana shukurani ata umfanyie nini anaweza kukutenda tu.
Ni nguvu ya mbususu na kufinyiwa kwa ndani tu mkuu. Nothing more.
 
Tuanzie hapa Kwanza una Hela kweli ? Usije kuwa unatufunga kamba jiulize wale wanaasili watoto, kumsomesha mtu Baki alafu unazungumzia watoto wa mwanamke anayekupa mambo adhimu uoni unakustiri bas nawe stiri watoto Kwa kulipia izo ghalama maisha yako hivyo mkune anayekukuna
We unaonekana bado kijana mdogo au ulishakataa tamaa ya maisha huna la kupoteza. Unaongea kama hujui kutafuta pesa, upo upo tu
 
Back
Top Bottom