Hivi nyie wadada! Nani aliwapiga tunguli?

Hivi nyie wadada! Nani aliwapiga tunguli?

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,933
Reaction score
9,034
Bila hata salaam.....maana nimekwazika mpka pale kwenye kapoint ka mwisho kabisa.

Kuna mzee mmoja hapa ni mpangaji mwenzangu.....lkn yeye kapanga vyumba vitatu....
Ni mtu mzima yani 50+ hvi...,, mpka jana alikua anaishi na mke wake ambaye kwa madai yao walioana 1988 na wamezaa watoto wanne na kuishi pamoja mpaka leo.

Mtoto wake wa kwanza anamiaka 31 wa pili wa pili 27+ watatu 24 huyo wa mwisho 20+......wawili wa kwanza wanajitegemea tayar kimaisha.

Sasa kituko ni hiki.....
Huyu mzee kumbe alikua na kadem huko alikokua anaenda kila mwaka kusimamia mashamba yake bhanaaa...sasa kukuru kakara akakapa ujauzito hako kadem.

Kwao ikabidi wamwambie mzee itabidi uoe na kibaya zaid huwa anawadanganya kwamba yeye anahela kinoma.

Sasa mke wake akapata taarifa ya yote yaliompata mmewe....akaumia lkn mwishl akaona sio kesi sana.

Sasa kituko kilipokolea zaidi ni hapa!!!!
Mzee kaamua kweli kumchukua yule mwanamke lkn cha ajabu kamuweka kwenye nyumba moja na mke mkubwa....!!!! tena kamleta huyo demu huku akimkashfu sana mke wake mkubwa na maneno machafu kibao.....""et mara ooohh nimeamua kutafuta amani ya moyo mana sku zote sikua na amani kabisa katka kuish kwangu na ww""

Cha ajabu hako kabinti kana miaka 22 tu jamani....na mtoto mdgo wa wiki moja mgongoni kalozaa na mzee wa miaka 50.

Sasa najiuliza hivi haka kabinti kamerogwaaa au ndo kanampenda sana mzee mpka kukibali kuishi ndani ambamo na bimkubwa yupo humo humoo??? mana sio ustaarabu.....!!!!
Alafu naamka asubuh huyu mama ananambia et kamemnunia mke mwenzake!!!!!

kinachoniuma huyu mzee alishamletea mke wake wadudu ambao aliwachukua huko wapi sijui kipindi anafanya kazi zake za kusafiri safiri......and it is obvious kwamba hata haka katoto amekagawia wadudu tayar.....

Daaaaahhhh!!!!! wanawake poleni sana.....
 
hayakuhusu. mwanaume mzima utaoaje mke mmoja? huyo mzee anaandaa pepo yake. Mungu aliagiza muoe mke mmoja?
yani we miss natafuta unaona ni kitu kizur kweli.......tena unashadadia kabisa.....!!!! huyu mzee ni HIV positive na hilo huwa hafichi hata kidgo....sasa unasemaje kuhusu huyl mtoto aliemuoa
 
yani we miss natafuta unaona ni kitu kizur kweli.......tena unashadadia kabisa.....!!!! huyu mzee ni HIV positive na hilo huwa hafichi hata kidgo....sasa unasemaje kuhusu huyl mtoto aliemuoa
kama kamuoa ,hiv + ,wenzake je? acha aoe? wewe umeoa?
 
Hapo kama kushangaa tuwashangaeni wote huyo babu na huyo msichana pia. Sababu ukishangaa huyo mdada kuwa na mzee jiulize kwa nini huyo mzee hajataka kutulia na mkewe wakalea wajukuu kaenda kwa huyo mdada.

Waacheni ndio maisha waliyoyachagua na kuyafurahia kwa mioyo yao hakuna cha kuwashangaa hapo na kama mke mkubwa alishakubaliana na hali mbona hakuna hata shida.
 
Hapo kama kushangaa tuwashangaeni wote huyo babu na huyo msichana pia. Sababu ukishangaa huyo mdada kuwa na mzee jiulize kwa nini huyo mzee hajataka kutulia na mkewe wakalea wajukuu kaenda kwa huyo mdada.

Waacheni ndio maisha waliyoyachagua na kuyafurahia kwa mioyo yao hakuna cha kuwashangaa hapo na kama mke mkubwa alishakubaliana na hali mbona hakuna hata shida.
Tatzo sio kukubali kuolewa na mzee.....kistaarabu na kiusalama wa pande zote mbili sio sahihi mke mkubwa na mke mdgo kuishi nyumba moja...hasa kwa zama hzi
 
Tatzo sio kukubali kuolewa na mzee.....kistaarabu na kiusalama wa pande zote mbili sio sahihi mke mkubwa na mke mdgo kuishi nyumba moja...hasa kwa zama hzi
Wewe ndio unaona sio sahihi Mkuu ila ukiona mpaka huyo mzee kajiamulia kufanya hivyo basi jua usalama upo.

Pia kama hutojali niambie hiyo hofu ya usalama kwako inakuwa kwenye nini?
 
mzee aoe wee utoe povu kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
usikurupuke....sio povu....na nilichoongea pale juu....ni kwanza.....mzee ni HIV +....means keshamwambukiza huyu binti....pili ni kitendo cha huyo binti kukubali kukaka nyumba moja na mke mkubwa
 
Wewe ndio unaona sio sahihi Mkuu ila ukiona mpaka huyo mzee kajiamulia kufanya hivyo basi jua usalama upo.

Pia kama hutojali niambie hiyo hofu ya usalama kwako inakuwa kwenye nini?
hao ni mahasimu.....unazani haiwez tokea siku mmoja akamuwekea sumu mwenzie...?? au siku ikatokea wakakwaruzana na kupigana kuumizana au hata kuuana??? sio salama kabisa.....watu wakichukuliana madem tu wanachinjana na iwe huyu kabeba mume kabisaaa!!!!!??
 
wewe ndo mkurupukaji wee umejuaje kuwa mzee ni mwathirika pili kama kaoa kabinti kwa nn mkewe asiumie uumie wewe
 
hao ni mahasimu.....unazani haiwez tokea siku mmoja akamuwekea sumu mwenzie...?? au siku ikatokea wakakwaruzana na kupigana kuumizana au hata kuuana??? sio salama kabisa.....watu wakichukuliana madem tu wanachinjana na iwe huyu kabeba mume kabisaaa!!!!!??
Mmh. Kuanza kuwaza vitu ambavyo hata havijatokea huwa sidhani kama ni sahihi.

Hebu hayo yasikuumize kichwa mkuu , mbali na vyote ambavyo vipo we waache na maisha yao.
 
Back
Top Bottom