mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Yaani nimegundua watu wanawaamini viongozi wa dini kuliko wanasiasa.
Wakiagizwa kitu kwa mgongo wa Imani wanakifanya kwa moyo wote kuliko kwa mgongo wa kisiasa.
Nadhani hawa watu pia wananafasi ya kufanya Ili kuwe na Mlipuko wa Maendeleo na Mabadiliko Chanya.
Kama Mtu mmoja anaweza kuwahadaa waumini wakusanyike Kwenda Iraq Bila Tiketi nao wakatii.
Kama mtu mmoja anaweza kuwaamrisha waumini wakeshe barabarani wakizuia Umeme Usipite
Kama mtu mmoja anaweza kuwaamrisha wanakwaya Kuimba mapambio kituo cha polisi badala ya kufanya shughuli zao.
Kama mtu mmoja anaweza kuwaaminishia Watu na kuwachomea ndani ya nyumba,
Kama mtu mmoja anaweza kuwakusanya vijana wa kike na wa kiume wenye nguvu Kukesha porini
Kama mtu mmoja anaweza kuwafanya wanadamu kujizuia kula siku 40 bila kulalamika.
Basi kwa misingi hiyohiyo kumbe hawa watu wanaweza kuhamasishwa kufanya vitu vikubwa katika nchi yao kama vikundi.
cc
Wakiagizwa kitu kwa mgongo wa Imani wanakifanya kwa moyo wote kuliko kwa mgongo wa kisiasa.
Nadhani hawa watu pia wananafasi ya kufanya Ili kuwe na Mlipuko wa Maendeleo na Mabadiliko Chanya.
Kama Mtu mmoja anaweza kuwahadaa waumini wakusanyike Kwenda Iraq Bila Tiketi nao wakatii.
Kama mtu mmoja anaweza kuwaamrisha waumini wakeshe barabarani wakizuia Umeme Usipite
Kama mtu mmoja anaweza kuwaamrisha wanakwaya Kuimba mapambio kituo cha polisi badala ya kufanya shughuli zao.
Kama mtu mmoja anaweza kuwaaminishia Watu na kuwachomea ndani ya nyumba,
Kama mtu mmoja anaweza kuwakusanya vijana wa kike na wa kiume wenye nguvu Kukesha porini
Kama mtu mmoja anaweza kuwafanya wanadamu kujizuia kula siku 40 bila kulalamika.
Basi kwa misingi hiyohiyo kumbe hawa watu wanaweza kuhamasishwa kufanya vitu vikubwa katika nchi yao kama vikundi.
cc