Mkuu km unazungumzia hizo programme toka College of Education_CoED kwa ufupi tu CoED kwa sasa hawachukui diploma yoyote ile...
Hata kwangu pia...nimetizama list ya diploma zote kwa mwaka Wa masomo 2018/2019 HAZIPOkuna mwalimu amemaliza mwaka jana hapo CoED anasema kwamba "siku za nyuma kuna watu wa UDOM walipita kazini kwao na kuwahoji mambo kadhaa kuhusu kozi tajwa hapo juu moja ya maswali waliyoulizwa ni kwa namna gani kozi hizo zimewanufaisha na je kuna haja ya kuzirudisha."
sasa jana huyo mwalimu katoa taarifa kuwa kozi hizo zimerejeshwa UDOM, mimi nikajaribu kuangalia kwenye tovuti ya UDOM sijaona hicho kitu.
sa siungemuuliza huyo aliyekuambiakuna mwalimu amemaliza mwaka jana hapo CoED anasema kwamba "siku za nyuma kuna watu wa UDOM walipita kazini kwao na kuwahoji mambo kadhaa kuhusu kozi tajwa hapo juu moja ya maswali waliyoulizwa ni kwa namna gani kozi hizo zimewanufaisha na je kuna haja ya kuzirudisha."
sasa jana huyo mwalimu katoa taarifa kuwa kozi hizo zimerejeshwa UDOM, mimi nikajaribu kuangalia kwenye tovuti ya UDOM sijaona hicho kitu.