wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
- Thread starter
- #41
Asante kwa mwongozo mkuuwa stendi , hili ndio jibu sahihi kwa swali lako.
Dunia tunayoishi, tupo juu yake na sio ndani. Anga unaloona limetuzunguka likiwa na nyota, mwezi na jua, ni pana halina mwanzo wala mwisho. Hizo nyota unazoona angani, kiuhalisia sio ndogo kama unavyoziona, nyingine ni sayari kubwa kama hii dunia tunayoishi.
Kama alivyosema shalet, hiyo rangi ya bluu unayoona ni mwisho wa uwezo wa macho yako kuona. Inakuwa bluu kutokana na mchanganyiko wa hewa zinazoizunguka dunia.