Hivi ni uzembe wa mdomo au maksudi?

hivi kibo10 unakuraga mchere???au wari??
mi napenda kirimo cha mchere na mahalage mologolo

za asubuhi rakini
 
Huwa nachukia sana ninaposoma na kukutana na maneno haya
Lula badala ya Rula
Mologolo-morogoro
Foreni-Foleni
Ugari-Ugali
Kula-Kura
Nimekuwa nikijiuliza tatizo ni nini kwa watu kama hawa
Nashauri tuanze kuwapiga vita kuboresha lugha yetu ya kiswahili
Tulipiga vita X kuwa S na tumefanikiwa
Kuna mkuu anaitwa LEGE kaanzisha topic anaandika ABILIA wa makongo,Kaaribu utamu wa UZI jirekebishe MKUU
Usichukie mkuu LEGE hapa ni sehemu ya kurekebishana jombaa!
Inawezekana ni watu wavivu wa kubadilika huwezi kuwa kiongozi mkubwa wa nchi then unatumia kuongea au kuandika kwa mfano niliotoa hapo juu.

mkuu kumbuka kuna watu ambao kutokana na mother tongue zao huwa hawana baadhi ya sounds.

mfano
wachaga wachaga hawana sound Zii ila wana sound 'nsu'
hawana sound 'p' ila wana sound 'be'

waluguru hawana sound "r" ila wana 'l' n.k

nafikiri ni jambo zuri kujifunza hizi sounds lkn hatupaswi kuwalaumu na kusema ni kusudi sana manake ndivyo walivyozoea.
 
  • Thanks
Reactions: RR
mkuu kila mmoja na yake haupo kwenye x na li upo kwingine mwisho wa siku wote tunawekwa kundi 1 tu niwaharibifu wa lugha
Kamwe haitatokea tukawa kundi moja ht siku moja,kuna watu hasa wa maeneo ya musoma. Kwao R haziepukiki km ilivyo kwa wasukuma wenzangu zile GA,nilikuwaga,niliendaga n.k
 
unapotosha tatizo la R na L kwa watu wengi tunaotoka kanda ya ziwa siyo la makusudi kama unavyotaka kuaminisha watu mfano mimi kuna maneno huwa napata tabu sana ninapofika kwenye R au L na mara nyingi huwa nauliza mtu sijui ni kwanini naieleweke siyo maneno yote yenye R na L ni baadhi...

mkuu mimi sitoki kanda ya ziwa bana.
 
mkuu kumbuka kuna watu ambao kutokana na mother tongue zao huwa hawana baadhi ya sounds.

mfano
wachaga wachaga hawana sound Zii ila wana sound 'nsu'
hawana sound 'p' ila wana sound 'be'

waluguru hawana sound "r" ila wana 'l' n.k

nafikiri ni jambo zuri kujifunza hizi sounds lkn hatupaswi kuwalaumu na kusema ni kusudi sana manake ndivyo walivyozoea.

Mwalimu gfsonwin mchango wako uko poa.....
Kinachonikwaza sio mtu kukosea kuongea.....ni kukosea hadi kuandika....kwamba 'keyboards' zinachanganya? Au vidole navyo vinaadhiriwa na lugha mama.?

Namshukuru mwanzisha mada, ni vema tukaepuka makosa ya kizembe kwani makosa haya hatimae huwa mazoea.

Asubuhi na sio hasubuhi
Hujajibu na si ujajibu
Lori na si roli (huyu sijui hata anakua anwaza nini) nk.
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu gfsonwin mchango wako uko poa.....
Kinachonikwaza sio mtu kukosea kuongea.....ni kukosea hadi kuandika....kwamba 'keyboards' zinachanganya? Au vidole navyo vinaadhiriwa na lugha mama.?

Namshukuru mwanzisha mada, ni vema tukaepuka makosa ya kizembe kwani makosa haya hatimae huwa mazoea.

Asubuhi na sio hasubuhi
Hujajibu na si ujajibu
Lori na si roli (huyu sijui hata anakua anwaza nini) nk.

Hivi ni harusi au arusi?
Hebu au embu?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: RR
Huwa nachukia sana ninaposoma na kukutana na maneno haya
Lula badala ya Rula
Mologolo-morogoro
Foreni-Foleni
Ugari-Ugali
Kula-Kura
Nimekuwa nikijiuliza tatizo ni nini kwa watu kama hawa
Nashauri tuanze kuwapiga vita kuboresha lugha yetu ya kiswahili
Tulipiga vita X kuwa S na tumefanikiwa
Kuna mkuu anaitwa LEGE kaanzisha topic anaandika ABILIA wa makongo,Kaaribu utamu wa UZI jirekebishe MKUU
Usichukie mkuu LEGE hapa ni sehemu ya kurekebishana jombaa!
Inawezekana ni watu wavivu wa kubadilika huwezi kuwa kiongozi mkubwa wa nchi then unatumia kuongea au kuandika kwa mfano niliotoa hapo juu.
Katika matumizi ya kiswahili, ili kufanya kiwe na tija tusirekebishe mtu mmoja mmoja ila jamii kwa ujumla. Mmeruhusu kiswahili kibovu kitumike kwenye matangazo ya biashara mf. jero, jiti nk. kuchanganya ndimi kumeruhusiwa mf. bure pack. Sasa mtadeal na mtu mmoja mmoja mnadhani ndio mnatatua tatizo. sisemi tusirekebishane ila kama kweli tuna nia ya dhati na lugha yetu, basi juhudi za dhati zinahitajika. nilishaweka njia za kuweza kukuza kiswahili walau kwa kadiri fulani.
Code:
Yerick Nyerere
nilimueleza mengi katika hili
 
Katika matumizi ya kiswahili, ili kufanya kiwe na tija tusirekebishe mtu mmoja mmoja ila jamii kwa ujumla. Mmeruhusu kiswahili kibovu kitumike kwenye matangazo ya biashara mf. jero, jiti nk. kuchanganya ndimi kumeruhusiwa mf. bure pack. Sasa mtadeal na mtu mmoja mmoja mnadhani ndio mnatatua tatizo. sisemi tusirekebishane ila kama kweli tuna nia ya dhati na lugha yetu, basi juhudi za dhati zinahitajika. nilishaweka njia za kuweza kukuza kiswahili walau kwa kadiri fulani.
Code:
Yerick Nyerere
nilimueleza mengi katika hili

Kuna yaliyo ndani ya uwezo wetu.....sio mbaya kuanza na haya madogo!
 
Back
Top Bottom