JabraKitaa
Member
- May 8, 2018
- 6
- 10
Mimi naona hizi taaluma zinaingiliwa chombo kama TBS, Mkemia mkuu ni vyombo imara sana. Kama inafikia vinapingwa kwa kweli itakuwa kuna maslahi pembeni ya watu. Napenda kutoa ushauri wangu wa vyombo vinavyohusika zaidi ni wakati sasa TRA nao kuwa na wataalam wa vipimo ili mwisho wa siku wapate kulinganisha matokeo ya sampuli zao.
Leo hii muda mwingine TRA anafanyakazi kupitia Taasisi fulani mfano tujiulize, je TRA anatoza vipi Kodi kwa mizigo ya uzito mfano Ngano, pamba, korosho bila Wakala wa vipimo kukagua mzigo huu tena hasa mipakani.
Juzi juzi tu tulisema lazima kituo cha mafuta kiwe na Mashine ya kutolea Risiti sawa lakini, je mtu wa TRA anajuaje mfumo wa mashine kama mtu wa wakala wa vipimo(WMA) maana afisa vipimo ndio anajua usomaji mzuri wa mashine huo la sivyo TRA hata afunge mashine pump zote kama afisa vipimo hajakagua pump TRA wanapoteza kodi nyingi na wananchi wanaibiwa sana kwenye pump za mafuta unakwenda weka lita 10 kumbe unapata lita 9.
Itafikia wakati tutasema Bandari ya Dar es salaam inachelewesha kutoa mizigo kumbe sivyo inawezekana ni matatizo yetu wenyewe TRA anashindwa kufanya kazi sababu alitegemea kitu fulani kumbe wataalam wa faini hiyo wamesema kinyume na matarajio.
Ili kuondoa usumbufu huu TRA anatakiwa sasa kuwa na watu wake wa kufanya sample za bidhaa, wataalam wake wa vipimo na wakemia wake ili wakienda kulinganisha na sample za taasisi husika wanaweza kuelewana kuliko mtu wa kodi kumuelewa mtu wa kemia au wa vipimo.
Leo hii muda mwingine TRA anafanyakazi kupitia Taasisi fulani mfano tujiulize, je TRA anatoza vipi Kodi kwa mizigo ya uzito mfano Ngano, pamba, korosho bila Wakala wa vipimo kukagua mzigo huu tena hasa mipakani.
Juzi juzi tu tulisema lazima kituo cha mafuta kiwe na Mashine ya kutolea Risiti sawa lakini, je mtu wa TRA anajuaje mfumo wa mashine kama mtu wa wakala wa vipimo(WMA) maana afisa vipimo ndio anajua usomaji mzuri wa mashine huo la sivyo TRA hata afunge mashine pump zote kama afisa vipimo hajakagua pump TRA wanapoteza kodi nyingi na wananchi wanaibiwa sana kwenye pump za mafuta unakwenda weka lita 10 kumbe unapata lita 9.
Itafikia wakati tutasema Bandari ya Dar es salaam inachelewesha kutoa mizigo kumbe sivyo inawezekana ni matatizo yetu wenyewe TRA anashindwa kufanya kazi sababu alitegemea kitu fulani kumbe wataalam wa faini hiyo wamesema kinyume na matarajio.
Ili kuondoa usumbufu huu TRA anatakiwa sasa kuwa na watu wake wa kufanya sample za bidhaa, wataalam wake wa vipimo na wakemia wake ili wakienda kulinganisha na sample za taasisi husika wanaweza kuelewana kuliko mtu wa kodi kumuelewa mtu wa kemia au wa vipimo.