Nimetatizwa na hali iliyojitokeza jana bungeni pale wabunge wa CHADEMA walipoamua kutoka nje ya ukumbi kususia hoja ya kufanyia marekebisho kipengele cha kanuni ya kambi ya upinzani bungeni. Kwa mtazamo wangu nadhani wabunge wa CHADEMA wanachofanya si haki na hasa kwa wapiga kura wao waliowapa idhini ya kuwawakilisha bungeni. Lakini pia napata hisia zaidi za kuona kama Mwenyekiti wao Freeman Mbowe kama mtu anayewaburuza zaidi wabunge wa chama hicho. Hivi kuna tatizo au ugumu gani CHADEMA kushindwa kuungana na wabunge wa vyama vingine vya upinzani kuunda kambi ya upinzani? Ni mtazamo wangu tu....
kama wadau wengi wanavyosema kuna ajenda nyingi nyuma yake. udini, ukabila na kushindwa kutafsiri vyema kanuni za bunge. Bila kusahau uroho wa madaraka na Roho mbaya tu. lakini pia inaonekana kuna mawazo mburuzo. Mbowe anawaburuza wenzie.
Tukijikumbusha nyuma wenzao CUF waliwashirikisha chadema na ndio maana Dr. Slaa, Cheyo na Zito wakapata umaarufu.
iweje leo wao wawe kinyume chake?. Nafikiri wanazidi kujinyambulisha na kujulikana walivyo na hii sio nzuri katika kuleta utengamano wa kisiasa na mustakabali mwema wa nchi yetu.
sijui wengine wanaliona vipi hili.
asiyejua maana usimuambie maana ,alietoa ,ada hii ni zuzu au taahira
tusimlaumu ila akikua ataacha
Nimetatizwa na hali iliyojitokeza jana bungeni pale wabunge wa CHADEMA walipoamua kutoka nje ya ukumbi kususia hoja ya kufanyia marekebisho kipengele cha kanuni ya kambi ya upinzani bungeni. Kwa mtazamo wangu nadhani wabunge wa CHADEMA wanachofanya si haki na hasa kwa wapiga kura wao waliowapa idhini ya kuwawakilisha bungeni. Lakini pia napata hisia zaidi za kuona kama Mwenyekiti wao Freeman Mbowe kama mtu anayewaburuza zaidi wabunge wa chama hicho. Hivi kuna tatizo au ugumu gani CHADEMA kushindwa kuungana na wabunge wa vyama vingine vya upinzani kuunda kambi ya upinzani? Ni mtazamo wangu tu....
Nimetatizwa na hali iliyojitokeza jana bungeni pale wabunge wa CHADEMA walipoamua kutoka nje ya ukumbi kususia hoja ya kufanyia marekebisho kipengele cha kanuni ya kambi ya upinzani bungeni. Kwa mtazamo wangu nadhani wabunge wa CHADEMA wanachofanya si haki na hasa kwa wapiga kura wao waliowapa idhini ya kuwawakilisha bungeni. Lakini pia napata hisia zaidi za kuona kama Mwenyekiti wao Freeman Mbowe kama mtu anayewaburuza zaidi wabunge wa chama hicho. Hivi kuna tatizo au ugumu gani CHADEMA kushindwa kuungana na wabunge wa vyama vingine vya upinzani kuunda kambi ya upinzani? Ni mtazamo wangu tu....
seriously chadema kuna tatizo. Ama wamelewa madaraka au kuna tatizo kubwa zaidi ya hilo. Hawa jamaa baada ya mkutano wa kamati kuu waliwajibu kwa kejeli za ki-jf wenzao wa cuf ambao walichukua hatua mara nyingi kuwasihi chadema waunganishe nguvu ya upinzani. Kwa makusudi au kulewa wakadhani cuf wasinge-react. ! Wenzao wakatumia ushawishi wa kibunge kuwatega na sasa wamevuna mabua!
Mimi sidhani kama mbowe ndiye anayewaburuza, ukiangalia hoja za mdee na lisu ni hizi ambazo tunazozisoma kila siku humu jf! Hivi hawa jamaa wanachukua porojo za humu kupeleka bungeni?
Jf is killing cdm! Kep it up jf!