Inasemekana zamani kidogo watu walitongozana na kuombana unyumba/uchumba maeneo yafuatayo;-kisimani, ngomani, harusini, machungani, n.k. Maendeleo ya teknolojia yameongeza maeneo ya kukutania, ndiyo kama vile humu JF, facebook, badoo, twitter, n.k.
Ni muhumu kubadilika ili kuendana na matakwa ya dunia. Kalagabaho!!!!!