Jana ktk kipindi cha michezo nilimsikia mzee kilomoni akishangazwa na uamuzi wa kamati ya utendaji kumsimamisha rage kwa madai kwamba hawakufuata katiba inavyosema,kwa bahati mbaya hata katiba yenyewe haiwapi mamlaka hayo kwakuwa wao wadhamini wapo chini ya kamati ya utendaji,ndugu zangu wana simba timu haipo vizuri hebu tuungane tuondoe tatizo na tuache unafiki,ninaamini mikoni mwetu simba itasimama au itaanguka.