Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,800
- 4,843
32 degrees Celsius, 45 nautical miles
nawe unayo mkuu ..Mbona mie nimehitimu darasa la saba na nimo humu JF karibia miaka 9 sasa!
Mi nna digrii ya kitaa!Na wewe una degree ya nini mkuu?
Tehe tehe
Pamoja na kuudhuria kweli chuon lakn hatuwezi kufananisha mtu wa darasa la saba na wa chuo kikuu.mimi nimesha mshuhudia mtu mmoja anavyoongea kama humjui unaweza sema kafika chuo kikuu na ana ka-kakiingereza ka kusomea mwezi mmoja. lol . kuna hoja anavyochambua unaweza vunjika mbavu.muda mwingine kuongea mbele ya hadhara ni kipaji. kuna siku alinambia kuwa mwanae wa alikuwa amepata daraja la PASS (kabla Ndalichako hajarudisha mfumo wa division) amemnunulia zawadi na anasubiri mwanae apangiwe high school.YELEUWIIIII nlickeka mpk akajisikia vibaya. sikumuonea huruma kwa kuwa hujafanya mjuajiKuwa na degree au la sio big deal, jambo la msingi ni uzito na weledi wa bandiko, wengine huku jamvini tunafuata kupata elimu, uzoefu wa watu na habari mbali mbali, sio kiwango cha elimu ya mtu kwani kuna watu hapa hawana elimu kubwa lakini ukisoma bandiko lake unasema yes! Unatoka na kitu, na kuna wanaojigamba wamesoma sana lakini ukisoma bandiko lake, ukaangalia hoja yenyewe na mtiririko wa mawazo; thought flow, unaona kabisa huyu "alihudhuria darasani tu" akatoka mtupu kama alivyoingia!
We muhaya hujaulizwa hayo yote. Punguza ma sifamimi nimesoma mpaka darasa la 9 tu na ninamiliki kampuni yenye watu waliosoma mpaka darasa la 24
Ni kweli kama mimi nina degree ya kuvuta bangi na kunywa.pombe nayo ni degree