Kiriku
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 345
- 134
Nimekuwa nikipitia mijadala mbali mbali kwenye jukwaa la siasa tatizo kubwa nililoliona watu wamekuwa na ushabiki mkubwa wa vyama vya siasa.
Kwa mtazamo wangu tuna haja ya kwenda mbali zaidi tukaacha ushabiki wa vyama tukawapima viongozi kwa ufanisi wao na sio kwa vyama vyao, ninaposema viongozi namaanisha kuanzia ngazi za chini mpaka ngazi za juu.
Naomba kuwasilisha tujadili bila ya ushabiki wa vyama karibuni.
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
Kwa mtazamo wangu tuna haja ya kwenda mbali zaidi tukaacha ushabiki wa vyama tukawapima viongozi kwa ufanisi wao na sio kwa vyama vyao, ninaposema viongozi namaanisha kuanzia ngazi za chini mpaka ngazi za juu.
Naomba kuwasilisha tujadili bila ya ushabiki wa vyama karibuni.
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app