Hivi ni kweli ananipenda?

Hivi ni kweli ananipenda?

Hongera sana dogo,huyo dada komaa nae kula mzigo kwa kwenda mbele mpaka upate expirience,kakuingiza ktk level nyingine.
 
Mkuu kwenye hiyo Poem UMETOKELEZEAAAA... Like woooooo......

Inabidi hii story iwekwe katika Fasihi Andishi, Takiluki waipeleke mashuleni kama Riwaya ya Ngoswe....
 
Mi nashauri kama ni mkristo upadri unakufaa tena utakuwa muadilifu kwa masister
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom