Hivi ni kwanini watu wanaoendesha Harrier ni wazembe na wazubavu sana barabarani?

Hivi ni kwanini watu wanaoendesha Harrier ni wazembe na wazubavu sana barabarani?

Hawa watu huwa wanakuwa na matatizo gani? Wanazubaa hovyo barabarani na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara.

Mpaka kuna wakati nadhani magari yao ndio mazito na mizigo maana haiwezekani kila mahali naona wanafanana tabia.
Kwa kuwa wanayapenda magari yao na wanayapa thamani,sii kama boda,tu vits na tu ist twa mikopo twa tuvijana ambao bado hatuna tumajukumu.
 
Hawa watu huwa wanakuwa na matatizo gani? Wanazubaa hovyo barabarani na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara.

Mpaka kuna wakati nadhani magari yao ndio mazito na mizigo maana haiwezekani kila mahali naona wanafanana tabia.
Magari ya wastaarabu watu wenye pesa zetu. Huwezi kunikuta nafanana tabia na mtu anayeendesha subaru au noah.
 
wengi n wakurya ndio wananua magar kwa kuigana na weng wao hawajui vzur kuendesha wanajkuta wajuaj kinoma
Hawa watu huwa wanakuwa na matatizo gani? Wanazubaa hovyo barabarani na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara.

Mpaka kuna wakati nadhani magari yao ndio mazito na mizigo maana haiwezekani kila mahali naona wanafanana tabia.
Ukiwa barabarani unataka ligi???
 
Kwa kuwa wanayapenda magari yao na wanayapa thamani,sii kama boda,tu vits na tu ist twa mikopo twa tuvijana ambao bado hatuna tumajukumu.
Umewahi kuona watu wanaoendesha land cruiser, Ford ranger, hilux na prado hizi mpya walivyochangamka barabara ya mbezi beach chini? Mbona hao wapo sharp na magari ni ya gharama kuliko harrier? Nao ni vijana?
 
Magari ya wastaarabu watu wenye pesa zetu. Huwezi kunikuta nafanana tabia na mtu anayeendesha subaru au noah.
Umewahi kuona watu wanaoendesha land cruiser, Ford ranger, hilux na prado hizi mpya walivyochangamka barabara ya mbezi beach chini? Mbona hao wapo sharp na magari ni ya gharama kuliko harrier? Nao ni vijana?
 
Waulize ccm ambao wanataka special no kwa wabunge
Kwa uelwa wangu mdogo, Demokrasia, ni pamoja na uhuru wa maoni, sasa hii tabia ya mtu kutoa maoni yake, juu anachowaza, au mkwaza, alafu mwingine, anakosoa eti asingeweka mada hii, alitakiwa aandike mada fulani, ni kupingi Unachokipigania bila kujua.
Wewe umewaza Siasa ulitakiwa uweke mada wadau wachangie.
 
Kwa uelwa wangu mdogo, Demokrasia, ni pamoja na uhuru wa maoni, sasa hii tabia ya mtu kutoa maoni yake, juu anachowaza, au mkwaza, alafu mwingine, anakosoa eti asingeweka mada hii, alitakiwa aandike mada fulani, ni kupingi Unachokipigania bila kujua.
Wewe umewaza Siasa ulitakiwa uweke mada wadau wachangie.
Weka mada wewe wadau tuchangie mimi sina mda huo
 
Back
Top Bottom