Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Mwanamke akishaolewa keshafika mwisho wa safari yake. Mwanaume akioa ndio safari imeanza hapo. Atawaza kujenga nyumba, kulisha familia, kusomesha ndugu na jamaa wa pande zote mbili, matibabu, na matumizi ya nyumba ndogo, if applicable. Haya mambo kwanza yamnampa msongo muda mwingi wa siku na pili yanamlazimisha afanye kazi zaidi ya wakati akiwa bado hajaoa. Matokeo yake ni kupunguza ufanisi kwa mambo mengine.
Lakini baadhi ya kina mama nao wakishaolewa na kuwa maveterani wanajisahau sana. Kwanza hawajitumi na pia wanabweteka sana ndio maana wengi utakuta wana vitambi. Hii nayo inachangia kwa kiasi kikubwa kupunguza mvuto na ufanisi kwenye shughuli kwani hii ni shughuli ya watu wawili.
Mhhh ya wapi hii. kwa hiyo sio mnaanza safari pamoja?