tototundu
Senior Member
- Jul 29, 2009
- 198
- 40
Nilisoma comment ya mdau mmoja humu forum akielezea uzuri wa TTCL.
Mimi nina maoni tofauti, ambayo huwa yananipa mawazo sana.
Kwanini nasema hivi, Kwannza hawako business oriented, kuna vitu vingine makampuni yaliyozaliwa juzi yameshafanya automation long ago. Eti mtu ukitaka kuhama bundle let say 500Mb kwenda 2GB lazima uandike barua! Barua? Karne ya 22!
Licha ya kuandika barua huo uhamisho lazima fundi afanye manually ofisini, tena mpaka aombwe na customer care, TTCL, are you serious?
Hilo la kwanza, la pili ni ile kutowajali na kutowachangamkia wateja wadogo. Ni TTCL tu ndio ambao hawana small bundles kama 15Mb, 20 MB etc hata kama ni per day plan, hivi TTCl hakuna department ya marketing ama research?
Mimi naamini TTCL ndio watu wenye best platform ya communication hapa TZ especially Internet, lakini watu waliopo pengine hawana vision, au wamepitwa na wakati, au pengine TTCL bado inaendeshwa kiserikali serikali....
Mimi nina maoni tofauti, ambayo huwa yananipa mawazo sana.
Kwanini nasema hivi, Kwannza hawako business oriented, kuna vitu vingine makampuni yaliyozaliwa juzi yameshafanya automation long ago. Eti mtu ukitaka kuhama bundle let say 500Mb kwenda 2GB lazima uandike barua! Barua? Karne ya 22!
Licha ya kuandika barua huo uhamisho lazima fundi afanye manually ofisini, tena mpaka aombwe na customer care, TTCL, are you serious?
Hilo la kwanza, la pili ni ile kutowajali na kutowachangamkia wateja wadogo. Ni TTCL tu ndio ambao hawana small bundles kama 15Mb, 20 MB etc hata kama ni per day plan, hivi TTCl hakuna department ya marketing ama research?
Mimi naamini TTCL ndio watu wenye best platform ya communication hapa TZ especially Internet, lakini watu waliopo pengine hawana vision, au wamepitwa na wakati, au pengine TTCL bado inaendeshwa kiserikali serikali....