Hivi ni kwanini Tanzania hatutumii insulation kwenye nyumba zenye AC?

mwandulu

Member
Dec 22, 2012
23
5
Habari wadau,
Mimi ni mkazi wa Dar Es Salaam na nimekuwa kuna swali najiuliza sana la matumizi ya insulation. Hivi ni kwa nini Tanzania hatuna na hatutumii insulation kwenye nyumba zenye AC?
Naomba niulize kwa nini vile vile watu wengi hawatumii "double glass window" kwenye zenye Ac kwa maana husaidia kusaidia baridi iliyopo ndani kupotea kwa urahisi.

Tafadhali naomba ufafanuzi wenu.

Shukrani kwa majibu yenu wote.
 
Mambo ya kuiga, hatuna ujuzi nayo na wala hatujishughulishi kujaribu kupata mantiki ya nini tunaiga. Tunapaswa kujifunza ili tufanye mambo kama inavyotakiwa sio kuiga halafu gharama zikizidi tunaweka vitu nusu nusu bila ya kutafakari kuwa ndio tunajiongezea gharama zaidi kwa kushindwa kuhifadhi baridi/ joto kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom