Hivi ni dawa gani CCM wanayoitumia inapigiwa kura kwa wingi?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,217
3,694
Baada ya uchaguzi mdogo kumalizika na ccm kuchukua kata zote 21 kati 22 ni kitu ambacho sikukitegemea kama wananchi wataipigia kura kwa wingi namna hii .

Kabla ya uchaguzi mdogo kufanyika kuna mambo makuu matano yaliyojitokeza ambayo tulitegemea yangewapa credit upinzani kushinda uchaguzi.

Licha ya upinzani kuongea vitu vingi ikiwemo ajira,uchumi, sukari,hali ngumu ya maisha lakini mambo yamekuwa tofauti kwenye sanduku la kura.

Swali langu: Je CCM huwa wanatumia 'dawa' gani hadi inashinda kwa kishindo hivi?
 
CCM haina dawa yeyote zaidi ya kuitumia katiba yao ya chama kimoja. Kuwa na Upinzani usiokuwa makini na pia kuwa na wanasiasa wanafiki hapa nina maana CCM na UKAWA. Mwisho kuwa na wananchi waliokuwa rahisi kurubuniwa wawe wafuasi wa CCM ama wa UKAWA. Hizi sababu kuu zitakazotuizuia kufikia maendeleo hata ya kati ya Taifa letu.
 
Toka 1995 mgombea urais Wa kudumu seif
CDM hakuna jipya tafuteni wengine kama waliopo wameshindwa na si kusubiri MTU akatwe toka ccm.
ww unataka mtu atokee mbinguni,sijui ulitaka watu watokee wapi kusoma hujui hata kuona unashindwa.soma historia hiyo inatokana na mfumo wa chama kimoja toka nchi ilipo pata uhuru sababu kila mtu alikuwa CCM,upinzni umeanza mwaka 1992 CCM (tanu) imeanza toka mwaka 1960 ukiangalia hapo ni miaka 32 mfumo ulio ota mizizi kwa miaka 32 jumla na kuwa na taifa lenye watu wajinga zaidi ya 60% na lenye watu walio masikini zaidi ya 70% bado unategemea upinzani uta ji establish nje ya mfumo wa CCM?.kwa mazingira hayo ni lazima upinzani utoke ndani ya mfumo uliokuwepo
 
ww unataka mtu atokee mbinguni,sijui ulitaka watu watokee wapi kusoma hujui hata kuona unashindwa.soma historia hiyo inatokana na mfumo wa chama kimoja toka nchi ilipo pata uhuru sababu kila mtu alikuwa CCM,upinzni umeanza mwaka 1992 CCM (tanu) imeanza toka mwaka 1960 ukiangalia hapo ni miaka 32 mfumo ulio ota mizizi kwa miaka 32 jumla na kuwa na taifa lenye watu wajinga zaidi ya 60% na lenye watu walio masikini zaidi ya 70% bado unategemea upinzani uta ji establish nje ya mfumo wa CCM?.kwa mazingira hayo ni lazima upinzani utoke ndani ya mfumo uliokuwepo
Kwa hiyo point yako nini? Au unakubali kwamba mfumo uliopo hamuwezi kushinda? Kama ndivyo acheni kulalamikia Matokeo maana mnajua lazima mshindwe. Hivi huko upanzani bado Lowassa ni fisadi?
 
UPINZANI MAGUMASHI MENGI, WANAWANCHI WEMEPOTEZA MATUMAINI KWA UKAWA, WANAPIGA ALINACHA ZA KULIMA EKA 1000 WAKATI HATA BUSTANI YA TUTAMOJA HAWANA, HHEBU KAA CHINI HALAFU TAFAKURI, CHADEMA HAMNA KICHWA ZAIDI YA KAMANDA MBOWE?CUF HAMNA KICHWA ZAIDI YA MAALIM SEIF? WATU WANATAKA VITU VYA KUONEKANA SIO BLAHBLAH!!
 
Mkuu hakuna dawa , kama ingekuw
a data Lowassa angeshanunua siku nyingi kama alivyonunua CDM. Fukuzeni mafisadi na walafi Wa madaraka mtashinda. Ebu fikiri toka
CCM noma mpaka karani fisadi ana mighorofa salasala
 
Back
Top Bottom