Emmanuel Adam14
Member
- Jun 19, 2014
- 42
- 76
Ni nani anayechunguza polisi anaponyanyasa raia?
Ni nani anayemhoji polisi anapopoteza ushahidi au kupokea rushwa?
Ni nani anayemwambia polisi kwamba “hapo umevuka mipaka”?
Ni nani anayemhoji polisi anapopoteza ushahidi au kupokea rushwa?
Ni nani anayemwambia polisi kwamba “hapo umevuka mipaka”?