four eyes
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 904
- 1,398
Habari wadau wa jf,
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali yanavyoenda ktk timu ya azam na najikuta na maswali kadhaa bila majibu
Azam ni timu ambayo ilipoanzishwa na kwa kuzingatia uwezo wa kipesa wa mmililiki niliona kabisa au nilitalajia ije iwe timu kubwa itakayokuwa ikinyang'anyana ubingwa na vilabu vya simba na yanga na pengine kuvizidi vilabu hivyo kwa mafanikio.
Nilidhani hivyo sababu kama nilivyoeleza hapo juu mmiliki ana uwezo wa kipesa lakini pia timu ni yake kwahyo hakuna zengwe la wanachama wala wazee wa club kwahyo anakuwa na fursa ya kufanya mambo kwa Uhuru.
Kinyume na matalajio yangu club hii imefeli Ku mature kama club na badala yake inafanya vitu visivyoeleweka na kufanya iwe ngumu kuelewa malengo yao ni nini.
Wakati azam ikiwa ktk kiwango kinacholeta matumaini ya ushindani ghafra iliamua kupunguza matumizi na kuachana na baadhi ya wachezaji wake wa kutumainiwa ambao wameenda kuinufaisha club nyingine kubwa,hapa nilijiuliza sana azam wanashauliwa na nani maana mpira wa sasa unahitaji pesa kupata mafanikio wao wanapunguza pesa mpaka wanaacha wachezaji wazuri wanaelekea wapi?
Msimu huu pia wameamua kuachana na chirwa mchezaji ambae ameonyesha uhai na kuwasaidia huku wakibakia na ngoma ambae ameonyesha kiwango kibovu kabisa,je mshauri wao ni nani au mwenye timu anaamua tu kulingana na alivyoamka?
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali yanavyoenda ktk timu ya azam na najikuta na maswali kadhaa bila majibu
Azam ni timu ambayo ilipoanzishwa na kwa kuzingatia uwezo wa kipesa wa mmililiki niliona kabisa au nilitalajia ije iwe timu kubwa itakayokuwa ikinyang'anyana ubingwa na vilabu vya simba na yanga na pengine kuvizidi vilabu hivyo kwa mafanikio.
Nilidhani hivyo sababu kama nilivyoeleza hapo juu mmiliki ana uwezo wa kipesa lakini pia timu ni yake kwahyo hakuna zengwe la wanachama wala wazee wa club kwahyo anakuwa na fursa ya kufanya mambo kwa Uhuru.
Kinyume na matalajio yangu club hii imefeli Ku mature kama club na badala yake inafanya vitu visivyoeleweka na kufanya iwe ngumu kuelewa malengo yao ni nini.
Wakati azam ikiwa ktk kiwango kinacholeta matumaini ya ushindani ghafra iliamua kupunguza matumizi na kuachana na baadhi ya wachezaji wake wa kutumainiwa ambao wameenda kuinufaisha club nyingine kubwa,hapa nilijiuliza sana azam wanashauliwa na nani maana mpira wa sasa unahitaji pesa kupata mafanikio wao wanapunguza pesa mpaka wanaacha wachezaji wazuri wanaelekea wapi?
Msimu huu pia wameamua kuachana na chirwa mchezaji ambae ameonyesha uhai na kuwasaidia huku wakibakia na ngoma ambae ameonyesha kiwango kibovu kabisa,je mshauri wao ni nani au mwenye timu anaamua tu kulingana na alivyoamka?