Hivi mmuliki wa vodacom atikea wapi?

Hivi mmuliki wa vodacom atikea wapi?

wililo

Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
78
Reaction score
27
Habarini ndugu zangu?
Naomba ufafanuzi juu ya huu mtandao wa vodacom kwangu hawajama wamekuwa kero kabisa! Naona huyu mmuliki wa mtandao huu anatakatuwe masikini na yawezekana hajui maisha ya watanzania au ametajirika sana anatakakupunguza idadi ya wateja. Sababu za kusema hivyo: moja vifurushi vyao gharama sana, pili huduma kwa wateja zinasumbua, la tatu ambalo ndiyo kiini cha yote ni kuongezwa kwa makato ya kutoa pesa kwenye simu kuongezeka kila mara bila hata taarifa. Labda wao wanalipa kodi tofauti na mitandao mingine? Jambo hili naona imesha kuwa kero.
 
Habarini ndugu zangu?
Naomba ufafanuzi juu ya huu mtandao wa vodacom kwangu hawajama wamekuwa kero kabisa! Naona huyu mmuliki wa mtandao huu anatakatuwe masikini na yawezekana hajui maisha ya watanzania au ametajirika sana anatakakupunguza idadi ya wateja. Sababu za kusema hivyo: moja vifurushi vyao gharama sana, pili huduma kwa wateja zinasumbua, la tatu ambalo ndiyo kiini cha yote ni kuongezwa kwa makato ya kutoa pesa kwenye simu kuongezeka kila mara bila hata taarifa. Labda wao wanalipa kodi tofauti na mitandao mingine? Jambo hili naona imesha kuwa kero.
Unamilikiwa na CCM Mkuu......Rostam,Lowasa,CCM.
 
Kuna kampeni ilianzishwa humu ya kuhama voda, asilima zaidi ya 90 kati ya 100 walisema wanahama,
Voda haina tofauti na ccm, wote ni magamba.
Mtaongea weeee, mwisho mtachoka.
 
Haujalazimishwa kuwa humo. Mitandao mingi Sana. Hama.
Mimi hata nikipigiwa simu kwa namba ya VODA SIIPOKEI.
 
Kuna kampeni ilianzishwa humu ya kuhama voda, asilima zaidi ya 90 kati ya 100 walisema wanahama,
Voda haina tofauti na ccm, wote ni magamba.
Mtaongea weeee, mwisho mtachoka.
Hawa jamaa ni shida Sana! Hawa nilishawatoka nimeshagundua ni akinachuma ulete.
 
Haujalazimishwa kuwa humo. Mitandao mingi Sana. Hama.
Mimi hata nikipigiwa simu kwa namba ya VODA SIIPOKEI.
Shida wateja wangu vijijini wapo huu mtandao, nilishanyosha mikono kitambo Sana.
 
Hawa jamaa ni shida Sana! Hawa nilishawatoka nimeshagundua ni akinachuma ulete.
Mi nimehama juzi kati naenjoy na tigo vifurushi vyao wapo vzr mb na dakika za kutosha mfano kwa elfu moja na mia tano ( 1500) unapata GB 2 dakika 150 tigo-tigo 15 tigo 1500 smsmitandao mingine. Halafu waaminifu ukiunga mb haziishi ka maji. Voda elfu mbili (2000 )unapata MB 515, dakika 180 voda - voda na 20 voda- mitandao mingine 200 sms
Bado wanaiba sana dakika na mb ukiongea kidigo tu zimeisha!
 
Mi nimehama juzi kati naenjoy na tigo vifurushi vyao wapo vzr mb na dakika za kutosha mfano kwa elfu moja na mia tano ( 1500) unapata GB 2 dakika 150 tigo-tigo 15 tigo 1500 smsmitandao mingine. Halafu waaminifu ukiunga mb haziishi ka maji. Voda elfu mbili (2000 )unapata MB 515, dakika 180 voda - voda na 20 voda- mitandao mingine 200 sms
Bado wanaiba sana dakika na mb ukiongea kidigo tu zimeisha!
Unapataje vifurushi hivi? Nipe menu unayopata hivi vifurushi au ni baadhi ya line
 
Unapataje vifurushi hivi? Nipe menu unayopata hivi vifurushi au ni baadhi ya line
N line za chuo, kuna jamaa wanapita mtaani wamevalia uniform za tigo ndo wanakusajilia kwa elfu 2 tu na 1500 kati ya hiyo elfu 2 wanakuingizia vocha kuifungua. Menu kama sijakosea n *147*00# unaenda zaizi yng
 
Sijawahi kujuta kutumia line ya voda kwa huku Tanga ,,,,, Kuna ofa inaitwa Tanga supa uni Nina Kama miaka miwili #1500/=kwa wiki dk 150 voda,-voda,, dk 15 mitandao yote,, 1GB na SMS Bila ukomo...Mambo ni
 
Voda hata ukiwa na uni offer bado wanazingua sana, bei zinapanda na products zinashuka ila tangu 2004 natumia hii line, kuhama ngumu sana
 
Mtandao wa kitajiri... kila kukicha gharama zinaongezwa... Hakika wanasikitisha sana...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom