Kwani wale jamaa wa king'oko wanaitwa something REPAO inausu poverty eradication program wapo Rejent estate karibu na kikwete vp havihusiani na mkurabita na mkukuta
1.Mkakati wa kuwanyanganya rasilimali wanyonge na kuwapa matajiri(mkurabita)
2.Mpango wa kuondoa utajiri na kuongeza umasikini tanzania(mkukuta)
3.Tanzania Sasa hAina Fedha(TASAF)