Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,104
- 34,057
Habarini Wadau,
Aicee kwakweli kuna viongozi wengi tu wenye mapungufu LAKINI huyu wa Arumeru Magharibi ndugu Gibson Meseyeki Ni HOVYO sijawahi kuona.
Pamoja na changamoto nyingi za maji na barabara katika jimbo lake hakuna chochote alichofanya na anachofanya hata sasahivi.
Nikiri wazi tu ni sawa na kutokuwa na Mbunge KABISA.
Sijawahi kuona Mbunge ambaye hajawahi hata kusimama bungeni kuelezea kero zilizopo kwenye jimbo lake au hata kutetea ama kupinga hoja yoyote.
Barabara fupi zipo mjini kabisa Ilboru, White Rose na hata ya kuelekea kwake lakini ni MBOVU SANA.
Anashindwa hata kuwashinikiza madiwani na maafisa watendaji kusimamia utengenezaji wa barabara hizo mpaka wananchi wasio na uwezo wanajitolea wenyewe.
Mbona Wabunge wengine hata wa upinzani wanakutana na ma DED, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa halmashauri kuleta maendeleo katika majimbo yao?
Ninajua upo humu, Gibson ulipiga kampeni kuomba kura za watu ili iweje ikiwa Uongozi huuwezi?
Wewe unachojisifia kila mara ni ujenzi na marekebisho ya shule moja ya Enyoito, mengine ni sifuri.
Ninakiri Kusema Arumeru Magharibi haina Mbunge.
Aicee kwakweli kuna viongozi wengi tu wenye mapungufu LAKINI huyu wa Arumeru Magharibi ndugu Gibson Meseyeki Ni HOVYO sijawahi kuona.
Pamoja na changamoto nyingi za maji na barabara katika jimbo lake hakuna chochote alichofanya na anachofanya hata sasahivi.
Nikiri wazi tu ni sawa na kutokuwa na Mbunge KABISA.
Sijawahi kuona Mbunge ambaye hajawahi hata kusimama bungeni kuelezea kero zilizopo kwenye jimbo lake au hata kutetea ama kupinga hoja yoyote.
Barabara fupi zipo mjini kabisa Ilboru, White Rose na hata ya kuelekea kwake lakini ni MBOVU SANA.
Anashindwa hata kuwashinikiza madiwani na maafisa watendaji kusimamia utengenezaji wa barabara hizo mpaka wananchi wasio na uwezo wanajitolea wenyewe.
Mbona Wabunge wengine hata wa upinzani wanakutana na ma DED, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa halmashauri kuleta maendeleo katika majimbo yao?
Ninajua upo humu, Gibson ulipiga kampeni kuomba kura za watu ili iweje ikiwa Uongozi huuwezi?
Wewe unachojisifia kila mara ni ujenzi na marekebisho ya shule moja ya Enyoito, mengine ni sifuri.
Ninakiri Kusema Arumeru Magharibi haina Mbunge.