Hivi marehemu Gadner G Habashi alikuwa na mtoto mmoja tu ambae ni malkia Caren?

Binti mmoja wa pekee! Karen

Mwaka juzi alimtambulisha binti mwingine waliyekutana ukubwani lkn leo hajatambulishwa nahisi huyo binti alimtelekeza baba ake kipindi anaumwa hata kwenye msiba leo sikumuona itakua ndio maana hawajamuhesabu.

Au Gardner hakumtambulisha kwa ndugu zake.
 
Karen alimkataa ndugu yake huyo, huyo dada anafanana na gadna kuliko hata karen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…