Hivi Manji ndiyo nani nchi hii?

Hivi Manji ndiyo nani nchi hii?

maramia

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2015
Posts
2,029
Reaction score
1,345
Yaani huyu mtu anayeitwa Manji akimkalia vibaya JPM atarudi India kwa mashua.
Tangu 2007 anaisumbua serikali kwa pesa zake alizowanunua waliokuwa mabwege ya Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni wakampa mamia ya ekari awekeze huko Coco Beach.

Hivi Manji anafikiri ile serikali ya kishkaji ya babake Riz1 bado iko kwenye system, hajui hata huyo Riz1 mwenyewe jipu lake linasubiriwa liive akamliwe.

Mpaka Rais anapoteza carories zake kutamka Yusuf Manji aachie huo ufukwe yeye hasikii anadhani atafua dafu na hiyo kesi yake aliyofungua mahakama ya ardhi? serikali ipo tena ya Magufuli si ya Kikwete. Atanyooka tu asidhani hiyo ni awamu ya nne.
 
DU! kamanda huyu Manji na Riz naona ona hasira nao sana. kikubwa tunachoongalia ni utaratibu na sheria. kama wamebainika kuvunja sheria za serikari lazima watakuwa majipu matarajiwa lakni kama wanafanya shughuli zao kihalali upepo wa magu utawavumia pembembeni! Mungu ibariki Tz.
 
Wewe ushasahau wale samaki! Magufuli alipuff nao wakapuff matokeo yake serikali ikaingizwa hasara. Jpm ni mchapakazi ila ni wa kuchunga asije akalisha kwenye shamba la jirani
 
Title deed ya sehemu zote nzuri...sio mchezo
 
Wewe ushasahau wale samaki! Magufuli alipuff nao wakapuff matokeo yake serikali ikaingizwa hasara. Jpm ni mchapakazi ila ni wa kuchunga asije akalisha kwenye shamba la jirani

Alikosa power, ILA Kwa sasa anayo maamuzi. Kesi ile ilishikwa na wanasheria maswaiba WA mtu....
 
Ukweli uko hapa..huu mradi ulianza zamani na halmashauri haina pesa wa kuuendeleza....Kama hakuja manji kuwekeza atakuja Mangi au Jecha..wote Watanzania...na ingawa inasemwa hakuna kiingilio ..hilo ni siasa zaidi kwani hawa watakao endeleza eneo hili watataka kurejesha fedha yao. Investments yoyote inatazamwa ROI Ni kiasi gani kwa mwaka...
Enjoy Video Ya Coco beach Mpya kwa faida yenu. na tuache Kupiga porojo

<font size="3"><strong>
 
Last edited by a moderator:
Wewe ushasahau wale samaki! Magufuli alipuff nao wakapuff matokeo yake serikali ikaingizwa hasara. Jpm ni mchapakazi ila ni wa kuchunga asije akalisha kwenye shamba la jirani
Naamini wale Samaki Magufuli was right ila kwa vile bongo Ujanja ujanja mwingi ndio maana serikali ilishindwa. Ila kwa Utawala wa Magufuli hakuna meli itakuja tena kuvua kwenye eneo letu.
 
Punguza hasira

Kweli, ila ngoja itapungua yenyewe huko mbele ya safari.
Unajua mijitu mingine inaboa sana mibabu zao iliwanyanyasa mababu zetu na wajukuu nao wanataka kutunyanyasa, inashupalia ardhi yetu wee utadhani ya kwao, kumbe Mugabe hakukosea kuwafukuza, kulaladeki.
 
Ukweli uko hapa..huu mradi ulianza zamani na halmashauri haina pesa wa kuuendeleza....Kama hakuja manji kuwekeza atakuja Mangi au Jecha..wote Watanzania...na ingawa inasemwa hakuna kiingilio ..hilo ni siasa zaidi kwani hawa watakao endeleza eneo hili watataka kurejesha fedha yao. Investments yoyote inatazamwa ROI Ni kiasi gani kwa mwaka...
Enjoy Video Ya Coco beach Mpya kwa faida yenu. na tuache Kupiga porojo

<font size="3"><strong>

Hah hah hapa kuna Peter Noni na hapa Manji,hapo ni EPA II tu Magu tuondolee ''EPAII''
 
Last edited by a moderator:
Yaani huyu mtu anayeitwa Manji akimkalia vibaya JPM atarudi India kwa mashua.
Tangu 2007 anaisumbua serikali kwa pesa zake alizowanunua waliokuwa mabwege ya Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni wakampa mamia ya ekari awekeze huko Coco Beach.

Hivi Manji anafikiri ile serikali ya kishkaji ya babake Riz1 bado iko kwenye system, hajui hata huyo Riz1 mwenyewe jipu lake linasubiriwa liive akamliwe.

Mpaka Rais anapoteza carories zake kutamka Yusuf Manji aachie huo ufukwe yeye hasikii anadhani atafua dafu na hiyo kesi yake aliyofungua mahakama ya ardhi? serikali ipo tena ya Magufuli si ya Kikwete. Atanyooka tu asidhani hiyo ni Yanga.

..tusiwe tunaropoka tu, kwani waliomuuzia manji hawana akili timamu? ama umri wao ni chini ya miaka 18?
 
Manji asubiri upepo upite kisha afanye maendeleo kwa faida yetu watanzania
 
20150711062922%2B%25281%2529.jpg

Ni kati ya matajiri waliokuwa wanatuchagulia marais lakini uchaguzi uliopita Lowassa amevurugia mipango yao.
 
Heheheh atarudi india kwa mashuaa !!!
 
DU! kamanda huyu Manji na Riz naona ona hasira nao sana. kikubwa tunachoongalia ni utaratibu na sheria. kama wamebainika kuvunja sheria za serikari lazima watakuwa majipu matarajiwa lakni kama wanafanya shughuli zao kihalali upepo wa magu utawavumia pembembeni! Mungu ibariki Tz.

We bwe.ge upo kwenu kantalampa huko hujui hata bahari, kwa taarifa yako Coco ndiyo ufukwe pekee wa bure Dar nzima, leo likauziwe lile kabacholi moja tu kisa lina hela. Halafu unakuja we tungunya unazungumza sheria we sheria unazijua wewe?
 
Back
Top Bottom