Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,082
- 26,136
Wakuu tunabishana hapa eti mama yake Diamond anajua kuongea kiingereza?
John tu kizungu cha ugoko lakini anasomesha namba bila tatizo. Bongo kizungu wanaongea Wahaya tu, tena wakilewa
Huyu mwenzetu atakuwa anajua nchi zote za Uzunguni wanazungumza kiingereza.Uzunguni kuna lugha zingine kama kireno,kijeruman,...Kizungu ndo lugha gani?
Huyu mwenzetu atakuwa anajua nchi zote za Uzunguni wanazungumza kiingereza.Uzunguni kuna lugha zingine kama kireno,kijeruman,...
Kujuwa "kizungu" ndiyo nini?
kujuwa= kujua
Wabongo wengi tunaongea kingereza cha kuelewana wenyewe na tunakuwa tunajiamini sana na kutulia tukikimwaga cha malkia ila akija mwenye lugha yake sijui huwa kinapeperukia wapi ? mtu jasho linamtoka penye usaili huku kung-fu si kung-fu choir master si choir master basi tafrani mtu alitoka penye interview hoi kuliko wale makuli wanaotoa lumbesa ya nazi kutoka soko dogo la nazi kupeleka kisutu .