KiongoziMkuu
Member
- Sep 16, 2015
- 34
- 7
Wadau, naamini wengi wetu tunafuatilia chaguzi za marekani sasa ikiwa katika kipindi cha kampeni. So far, Trump anaongoza akiiwaacha Ted Cruz, Hillary Clinton etc kwa asilimia kadhaa.
Sasa ninapochoka na kuishiwa nguvu ni pale ninapoona kuna idadi kubwa ya wamarekani katika majimbo tofauti wakionyesha kumkubali Donald Trump pamoja na sera zake za kurudisha ubaguzi wa rangi na ubaguzi wa dini.
Sambamba na wamarekani, kuna hadi watanzania ambao nao wanamkubali sana Trump akiwemo director wa miss universe Tanzania - Maria Sarungi.
Sasa hii ni ishara gani?
Ninachokiona hapa ni kuwa watu wengi hufuata upepo. Dunia nzima sasa inapambana na kuondoa kama si kupunguza ubaguzi wa rangi ambao umepelekea vifo vya raia wengi wa nchi mbalimbali. Nchini marekani polisi wa kizungu alimpiga bastola kijana mdogo mweusi bila hatia ikawa shida marekani. Sasa leo hii watu wapo tayari kumpigia kura mtu ambaye sera zake ni kuondoa watu weusi marekani,
Na kuzuia waislamu kuingia marekani akiamini hivyo anarudisha sifa na hadhi ya marekani!!
Jamani tujitambue. Kitu unachoweza kukiona ni kidogo kinaweza kuwa na impact kubwa sana ambayo hukutarajia.
Nawasilisha.
Sasa ninapochoka na kuishiwa nguvu ni pale ninapoona kuna idadi kubwa ya wamarekani katika majimbo tofauti wakionyesha kumkubali Donald Trump pamoja na sera zake za kurudisha ubaguzi wa rangi na ubaguzi wa dini.
Sambamba na wamarekani, kuna hadi watanzania ambao nao wanamkubali sana Trump akiwemo director wa miss universe Tanzania - Maria Sarungi.
Sasa hii ni ishara gani?
Ninachokiona hapa ni kuwa watu wengi hufuata upepo. Dunia nzima sasa inapambana na kuondoa kama si kupunguza ubaguzi wa rangi ambao umepelekea vifo vya raia wengi wa nchi mbalimbali. Nchini marekani polisi wa kizungu alimpiga bastola kijana mdogo mweusi bila hatia ikawa shida marekani. Sasa leo hii watu wapo tayari kumpigia kura mtu ambaye sera zake ni kuondoa watu weusi marekani,
Na kuzuia waislamu kuingia marekani akiamini hivyo anarudisha sifa na hadhi ya marekani!!
Jamani tujitambue. Kitu unachoweza kukiona ni kidogo kinaweza kuwa na impact kubwa sana ambayo hukutarajia.
Nawasilisha.