So far mtandao km fiverr una watumiaji zaidi ya million 3 na wote hawa wanafanya kazi online ....hii ina maana kuwa watu wote hao million 3 ni wehu we ndie Una akiliinawezekana kweli maana kwa mazingira niliyopo sioni watu smart wana dili na mambo hayo.
Mimi mmoja wao, nilisoma thread humu JF zinazohusiana na Freelancer, nikala ma-tutorial Youtube, nikapata baadhi ya skills, namshukuru mungu nshaanza kupata order kutoka Fiverr japo ni pesa ya kawaida nayoipata kwa sasa ila inanisaidia kidogo kukidhi mahitaji yangu ya chuoSo far mtandao km fiverr una watumiaji zaidi ya million 3 na wote hawa wanafanya kazi online ....hii ina maana kuwa watu wote hao million 3 ni wehu we ndie Una akili
Smart people ndio watu wa namna gani hao? Siyo kila mtu anayefanya online business anatangaza. In fact, most of successful online traders hawana huo muda wa kujitangaza na hata akimamua kijitangaza ni kwamba hiyo ni mbinu yake ya kutafuta soko lake zaidi lakini siyo kwa kutafuta ufahari.inawezekana kweli maana kwa mazingira niliyopo sioni watu smart wana dili na mambo hayo.
kweli. Ukiona kelele nyingi ujue hamna kituSmart people ndio watu wa namna gani hao? Siyo kila mtu anayefanya online business anatangaza. In fact, most of successful online traders hawana huo muda wa kujitangaza na hata akimamua kijitangaza ni kwamba hiyo ni mbinu yake ya kutafuta soko lake zaidi lakini siyo kwa kutafuta ufahari.
Naungana na wewe mkuuMimi mmoja wao, nilisoma thread humu JF zinazohusiana na Freelancer, nikala ma-tutorial Youtube, nikapata baadhi ya skills, namshukuru mungu nshaanza kupata order kutoka Fiverr japo ni pesa ya kawaida nayoipata kwa sasa ila inanisaidia kidogo kukidhi mahitaji yangu ya chuo
Pesa online ipo, kikubwa Ujuzi na taarifa sahihi, alafu Kingine kinachotukwamisha wabongo ni kukosa taarifa sahihi na watu sahihi, mfano hapa chuo marafiki zangu hakuna anayejua haya mambo ya Freelancer ukimwambia anakushangaa,
Mtu ana PC amejaza Movies, Games etc weekend anaamkia na kushindia movie, sisemi ni vibaya kucheck movie, make ata Mimi huwa nacheck ila baada ya kufanya mambo yangu ya Online.
Sahivi YouTube ni darasa tosha unaweza kuingia kule ukajifunza kila kitu ambacho unakitamani then unatumia ule Ujuzi uliojifunza kujiongezea kipato.
Hongera sana chief! Umeanza mapema sana utafika mbali, mi nimeanza iv karibuni nikiwa nina almost 34 years huwa najilaumu sana nilivyochezea muda in my twenties...ni km unavyowasema hao jamaa zako mi pia nilikuwa mtu wa movie aaubuhi mpaka enzi hizo za series za prison breakMimi mmoja wao, nilisoma thread humu JF zinazohusiana na Freelancer, nikala ma-tutorial Youtube, nikapata baadhi ya skills, namshukuru mungu nshaanza kupata order kutoka Fiverr japo ni pesa ya kawaida nayoipata kwa sasa ila inanisaidia kidogo kukidhi mahitaji yangu ya chuo
Pesa online ipo, kikubwa Ujuzi na taarifa sahihi, alafu Kingine kinachotukwamisha wabongo ni kukosa taarifa sahihi na watu sahihi, mfano hapa chuo marafiki zangu hakuna anayejua haya mambo ya Freelancer ukimwambia anakushangaa,
Mtu ana PC amejaza Movies, Games etc weekend anaamkia na kushindia movie, sisemi ni vibaya kucheck movie, make ata Mimi huwa nacheck ila baada ya kufanya mambo yangu ya Online.
Sahivi YouTube ni darasa tosha unaweza kuingia kule ukajifunza kila kitu ambacho unakitamani then unatumia ule Ujuzi uliojifunza kujiongezea kipato.
Mm nauza chorok0. Vp kuna wateja apo kwako nikuletee ili tule faida?Kama unamtaji wa kutosha ama una mategemeo ya kupata ajira hivi karibuni chagua kazi. Ila kama huna kitu usichague cha kufanya fanya kitu chochote cha halali ambacho kinatoa pesa.
Mtu huna cha kupoteza, huna pesa why unaogopa?? Mimi hiyo hiyo forex na betting ndio nilikuwa nafanya wakati sina mtaji maana ndio sehemu za kupata au kupoteza pesa fasta fasta. Hizo sijui Apwork mpaka utafute kazi mtu akupe sio leo wala kesho.
Siwezi sema ni bahati ilianguka upande wangu nikapata mtaji hapana maana nilikuwa natumia akili na pesa niliwekeza ndio nikapata kitu. OOh mwingine atasema forex ni gambling yeah nikama gambling lakini sina kitu nifanye nini kama tuu kazi ya 150k unazunguka dar nzima hupati na unadegree ufanye nini.
Kwenye hizi kazi za kawaida napo nipagumu sana labda uwe na ujuzi mfano ufundi simu au tajiri akupe chombo uendeshe ,hata ukondakta uliouandika hapo kupata sio rahisi mpaka uwe na connection tena kali na dereva bila hivyo utaambulia manyoya
Mimi nina store ya nafaka kila kwenye kilo moja ya mchele faida ina range 200-300 ili uone faida lazima uuze kilo nyingi nyingi sana nahapo kodi ya fremu,tra tfda ,halmashauri,umeme ,zima moto ,mlinzi vyote vitoke humo . Bado kodi ya mimi niliko panga + usafiri ukipiga mahesabu unajikuta unafanyia tumbo.
Hao wanaopenda kukaa ofisini na kusubiri mishahara sio wajinga asee. Nikaona bora niongeze wigo wa biashara nilime mazao mfano maharage mimi mwenyewe niwe nakuja kuyauza, juzi tu hapa ndio nimetoka kuvuna msimu wa pili mfululizo naambulia hasara.
View attachment 1821683
Kweli eti, afu hawa washikaji wangu mfano weekend nikiamka saa 3 au 4 asubuhi wanasema Mimi mwanaume gani nalala hadi saa 3 hawajui kwamba sometimes mtu unalala saa 9 au 10 usiku ukifanya Kaz ya client.Hongera sana chief! Umeanza mapema sana utafika mbali, mi nimeanza iv karibuni nikiwa nina almost 34 years huwa najilaumu sana nilivyochezea muda in my twenties...ni km unavyowasema hao jamaa zako mi pia nilikuwa mtu wa movie aaubuhi mpaka enzi hizo za series za prison break
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wacha kuletapolojo weka miamala umeyopiga kwa mwezi huko online ...Yaan ww jamaa ilibid uulize jinsi ya kupata pesa kwenye online investment. Sio unakuja kutuambia eti huwezi tajiri, nakuhakikishia mkuu ww huna Elimu yoyote juu ya hizi issue trust me Kuna watu wanatengeneza Hadi Million 2 per day via fx. Ni vile tu watu hawana Elimu juu ya sehem sahihi ya kuinvest ndomaana wanapigwa. Lakn Kuna wanaume hawali kwa jasho kabisaa kisa hizi business.
Wacha kuletapolojo weka miamala umeyopiga kwa mwezi huko online ...
Weka miamala kama salary slip kwa mwezi mbona simple ...
Nyie watu wa online mna maneno tu ila kiuhalisia hakuna mnalopata zaidi ya vipigo ...
Forex ..
you cant win hii things easly ,lazina upoteza sanaa ili ule...!
Niko sahihi....wengi mpo Tz.
Baki na ubishi wako watu wanapiga hela..Wacha kuletapolojo weka miamala umeyopiga kwa mwezi huko online ...
Weka miamala kama salary slip kwa mwezi mbona simple ...
Nyie watu wa online mna maneno tu ila kiuhalisia hakuna mnalopata zaidi ya vipigo ...
Forex ..
you cant win hii things easly ,lazina upoteza sanaa ili ule...!
Baki na ubishi wako watu wanapiga hela..
Huyu anaitwa kileo cheki profiti yake ya leoView attachment 1825753
Watz wanafikri kila mtu anatumia mitandao kubishania siasa na kuangalia umbeya!Afadhali umeongea mkuu labda ataamini Sasa Jamaa Hana exposure yoyote kuhusu hizi issue af mbishi Tena.
Watz wanafikri kila mtu anatumia mitandao kubishania siasa na kuangalia umbeya!
Hawaoni hata kijana wetu diamond ambae ni form four tu lakini hela nyingi anazipata kupitia mtandao.
Hawa watakumbuka shuka kumekucha baada ya miaka 5 ijayo