Hivi kwanini....


kumbe umeelewa eeh, kukwambia wakigundulika wanauwawa hiyo sio dalili ya kuwepo bali ni nyia iliyokuwa ikimaliza walijaribu hilo jambo. ni sawa na kusema hakuna Mmasai Albino, haina maana hawajawahi kuzaa albino ila mila yao akizaliwa albino wanamuua palepale ndani kwa wakunga wa kuzalisha hiyo ni mila yao.

unajua mwanadamu ni mtundu hivyo tabia hiyo ya utundu humfanya awe anajaribu kila anachofikiri anaweza kufanya hilo pia ni jingine, kuna ushoga wa utundu na ushoga wa uhanithi ila vyote ni ushoga. zote hazifai na ni tabia mbaya na chafu.
 
Sasa kama zamani mashoga hawakuwepo hao waliokuwa wanauliwa ni kina nani
 
Kumbe tuko selective eh?tunapokea hili kwenye utamaduni wetu,na tunakataa lile....

Kwa nini tunachagua hili na sio lile?Lool

Sijui km umenielewa,as sometimes naongea huku naendika,lol

Kwa nini tunakubali shisha na tunabagua ushoga?
Unalinganisha shisha na ushoga!!!?wee shoga kwa kweli
 

mnh

utatumiaje kuwaua mashoga kama njia ya kumaliza ushoga? ...............,is like to say I'm going to shoot every one at school,watu waliokuwepo shuleni watauwawa kweli,lakini kwani hawatazaliwa wengine?,wakaja kusoma hio shule???

unasema mashoga hawakuwepo,mbona hapo hapo unasema mliwaua,utamalizaje tatizo ambalo halipo?utamuuaje mtu ambaye hayupo???.......kama mliwaua wote,mbona wapo leo?....
 
Wewe kama mwanamke ungeuliza kwann Waafrika wengi hatupendi Usagaji.. usitake anzisha mada kulenga wanaume hapa, jilenge wewe na wanawake wengine na mambo ya kisagaj
 
Hahahh..we jamaa dini yako imekuharibu, unatunga hadithi...
 

kumbe umeelewa vizuri eeh, safi sana.
 
Wewe kama mwanamke ungeuliza kwann Waafrika wengi hatupendi Usagaji.. usitake anzisha mada kulenga wanaume hapa, jilenge wewe na wanawake wengine na mambo ya kisagaj
Wanawake wengi wa kiafrika hawana midomo mizuri ya kuvutia usagaji, usagaji upo tu na ushoga. Kuna mtoto mmoja wa kiume alikuwa mzuri zaidi ya mademu wengi hadi nikawa namtamani nimle, sikupata nafasi tu. Hivyo hata wanawake hutamaniana wao kwa wao.
Mbona wanahojiwa live but hii serikali pendwa inayokataza huo ushoga wala haiwakamati na hata hao wanaopromote pia hawawakamati??? Hii Ni dalili ya kwamba inasupport kimya kimya....Ila matamko ndio Mengi
 
Kumbe tuko selective eh?tunapokea hili kwenye utamaduni wetu,na tunakataa lile....

Kwa nini tunachagua hili na sio lile?Lool

Sijui km umenielewa,as sometimes naongea huku naendika,lol

Kwa nini tunakubali shisha na tunabagua ushoga?
Nina wasiwasi na jinsia yako
 
kuna mtu sijamuona kwenye huu uzi namsubir aje na yeye atoe maoni yake.....
 
Kiufupi, kwa promo mnao upa ushoga, ni dhahili umekubalika.

Mnapenda kuvipa promo vitu vya watu binafsi, matokeo yake vina kuwa vya public..

Kazi sana.
 
Mnh haya,

Ukiulizwa kwa nini ushoga ni utamaduni wa kishenzi?najua hautanijibu lol

Nini mwanzo wa utamaduni wetu?je mashoga hawakuwepo ktk mwanzo huo wa utamaduni,kwa nini mnasingizia ni wawest ndio wameleta ushoga?
Achana na suala la kuwa utamaduni wetu au la, the issue is 'Ushoga ni against nature', period.
 
Naomba kujua wadau ni nchi zipi au bara moja ya tamaduni zao ni ushoga.
 
why blaming ushoga ni something of the west,kihistoria ulikuja lini?,je perception imetofautiana before ama after being colonized?

mods saweni kwa kufuta topic yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…