Hivi kwanini watu wana oa na kuolewa?

Hivi kwanini watu wana oa na kuolewa?

Tayari umri wangu hapo juu miaka 32
 
Hapa kuna mambo yafuatayo

Huo umri utakuwa umedanganya

Kama ni umri wako basi uwezo wako wa kufikiri uligoma kukua tangu zamani sana

Kama hilo tatizo hapo juu halipo basi uliwahi kuumizwa sana kiasi kwamba umeamua kulichukia hilo jambo

USHAURI
Kama kuna kinachokuhusu kati ya hivyo hapo juu tafuta msaada haraka sana!

Sasa ndugu yangu unapo nishambulia mimi badala ya kujikita kwenye mada ya kutoa majibu ya mada.
Sijakuelewa kwa nini unanishambulia person.
Swala ni kwamba lengo la watu kuoana ni nini.
Kama kuzaa unaweza ukazaa bila kuoa au kuolewa.
kama ushauri unaweza ukashauriwa na mtu yeyote.
Kama kampani unaweza pata kwa mtu yeyoye.
Kama ku du unaweza ukanoa kisu chako kila siku bila hata kuoa.
So lengo kubwa sana la kuoa ni nini?

Rejea kwenye mada.
 
Sasa ndugu yangu unapo nishambulia mimi badala ya kujikita kwenye mada ya kutoa majibu ya mada.
Sijakuelewa kwa nini unanishambulia person.
Swala ni kwamba lengo la watu kuoana ni nini.
Kama kuzaa unaweza ukazaa bila kuoa au kuolewa.
kama ushauri unaweza ukashauriwa na mtu yeyote.
Kama kampani unaweza pata kwa mtu yeyoye.
Kama ku du unaweza ukanoa kisu chako kila siku bila hata kuoa.
So lengo kubwa sana la kuoa ni nini?

Rejea kwenye mada.

Kuna kitu hukijui

nI kwamba kabla ya kuamua kuweka mada yoyote hapa kuna majadiliano kati ya wewe na akili yako kama unachotaka kuweka hapa kiko sahihi,naamini huwa unapitia hatua hizi kwani kama hupitii ni hatari zaidi

Hapo kwenye kutafakari ndipo penye hazina yote

Unapotafakari na akili yako ikakuambia kuja kuuliza hapa sababu ya kuoa na kuolewa hiyo inamaana kuwa wewe umeshindwa kuiona hiyo sababu ndio maana ukaja hapa kuuliza,ungekuwa unaijua usingeuliza

Sasa kama umeshindwa kujua sababu ndipo msingi wa kile nilichokuambia unapokuja kwa maana kuwa hayo niliyokuambia ndio yanasababisha umeshindwa kuijua sababu ya watu kuingia kwenye ndoa

Kwa hiki ulichokiandika hapa sasa kwenye hii post ninayoi quote hapa kinatoa jibu kuwa wewe ni mtoto mdogo sana au huna uwezi mzuri wa kutafakari kama una umri uliousema hapo juu!
 
Kuna kitu hukijui

nI kwamba kabla ya kuamua kuweka mada yoyote hapa kuna majadiliano kati ya wewe na akili yako kama unachotaka kuweka hapa kiko sahihi,naamini huwa unapitia hatua hizi kwani kama hupitii ni hatari zaidi

Hapo kwenye kutafakari ndipo penye hazina yote

Unapotafakari na akili yako ikakuambia kuja kuuliza hapa sababu ya kuoa na kuolewa hiyo inamaana kuwa wewe umeshindwa kuiona hiyo sababu ndio maana ukaja hapa kuuliza,ungekuwa unaijua usingeuliza

Sasa kama umeshindwa kujua sababu ndipo msingi wa kile nilichokuambia unapokuja kwa maana kuwa hayo niliyokuambia ndio yanasababisha umeshindwa kuijua sababu ya watu kuingia kwenye ndoa

Kwa hiki ulichokiandika hapa sasa kwenye hii post ninayoi quote hapa kinatoa jibu kuwa wewe ni mtoto mdogo sana au huna uwezi mzuri wa kutafakari kama una umri uliousema hapo juu!

Katika akili zako unaweza ukafikilia kuwa unaakili. Akili ulizonazo ni juu ya kichwa chako. Tatizo lako ni moja tu unadhani kwakuwa watu wanaokuzunguka wanakupa kichwa na umejitutumua sasa na kujiona wewe una akili kumbe ni mjinga wa kwanza kabisa.

Unapo comment kitu lazima ujifunze kujua content zilizo ndani ya thread sio kukurupuka na kujifanya unaakili kumbe kichwa kikubwa ndani hakuna kitu. Usitumie kichwa kufugia nywele jaribu kidogo kushirikisha akili na mikono yako.

Soma kwanza content zilizo ndani ya thread kisha toa comment.
sawa!!?
 

Hivi kunaumuhimu wowote wa kuoa au kuolewa?

Ukikuwa utajua. Kwa sasa fanya mambo yanayoendana na umri wako, yanayokuzidi kimo kama vile ndoa na majukumu ya kifamilia waachie kaka/dada zako. Don't cross a bridge before you reach there.
 
Katika akili zako unaweza ukafikilia kuwa unaakili. Akili ulizonazo ni juu ya kichwa chako. Tatizo lako ni moja tu unadhani kwakuwa watu wanaokuzunguka wanakupa kichwa na umejitutumua sasa na kujiona wewe una akili kumbe ni mjinga wa kwanza kabisa.

Unapo comment kitu lazima ujifunze kujua content zilizo ndani ya thread sio kukurupuka na kujifanya unaakili kumbe kichwa kikubwa ndani hakuna kitu. Usitumie kichwa kufugia nywele jaribu kidogo kushirikisha akili na mikono yako.

Soma kwanza content zilizo ndani ya thread kisha toa comment.
sawa!!?
Naona umezoea kuishi kwa assumption sana
Assumption will cost you someday

Kila la kheri!
 
Hapa kuna mambo yafuatayo

Huo umri utakuwa umedanganya

Kama ni umri wako basi uwezo wako wa kufikiri uligoma kukua tangu zamani sana

Kama hilo tatizo hapo juu halipo basi uliwahi kuumizwa sana kiasi kwamba umeamua kulichukia hilo jambo

USHAURI
Kama kuna kinachokuhusu kati ya hivyo hapo juu tafuta msaada haraka sana!

aisee! shikamoo Mr. Eiyer
 
Sijajua tatizo gani hapa!!. Naomba kwa walio ooa wanipe maelezo ya kina. Sio kuanza kushambulia mtu badala ya kushambulia mada.

Halafu cha kushangaza watu wa ajabu ajabu huwa wanashambulia mtu binafsi. Tafsiri ya watu wa namna hiyo ni:-
-Huenda hajui anataka kujionesha anajua kwa kupoteza direction ya mada.
- Uoga wa kuonekana kuwa hajui huku akitaka sifa aonekane yeye anajua (U.pu.mbavu).


 
Naona umezoea kuishi kwa assumption sana
Assumption will cost you someday

Kila la kheri!

Ndio hicho ninachokiongelea hapa. Ungekuwa kweli akili zinachaji usinge quote comment yangu uliyo iquote sasa.
Ngoja nikuulize kitu kimoja. Je ukitaka kupima umbali kutoka dunia kwenda kwenye mwezi utapimaje? You must use assumption kupata real thing OK.
 
Dah umenigusa sana mtoa mada,changamoto kwenye ndoa ni nyingi.Asilimia kubwa ya wanandoa wanajutia kuolewa/kuoa...hata hivyo hawana namna wanaishi kama panya na paka ndani ya nyumba...imefikia hatua hata mimi naogopa sana kuoa japo ndo umri umeshafika nawaza nitafute mtu nizae nae tu then watoto nitawalea...ndoa ndoano ndg yangu
 
i think this might sound........ "as per culture" kuna umuhimu wa kuoa na kuolewa
 
Naoa ili nisaidiwe kufua na kupika

Uvivu first class
 
Aise nimekuwa nafikiria sana kutokana na rafiki zangu. Changamoto nyingi sana za maisha ya kuoana na kufanya watu wafe haraka.
Hivi kunaumuhimu wowote wa kuoa au kuolewa?

Mi Sijui Jibu.
 
Last edited by a moderator:
Hata maisha binafsi yana changamoto. Kwahiyo tusitishe maisha pia kwasababu ya Changamoto? The only way ni kutafuta solution na siyo kukimbia tatizo.
 
Ndio hicho ninachokiongelea hapa. Ungekuwa kweli akili zinachaji usinge quote comment yangu uliyo iquote sasa.
Ngoja nikuulize kitu kimoja. Je ukitaka kupima umbali kutoka dunia kwenda kwenye mwezi utapimaje? You must use assumption kupata real thing OK.

Hata kama ikiwa nisahihi kwa mfano wako hiyo haimaanishi uko sahihi kwenye ulicho assume hapa!
 
Back
Top Bottom