Hivi kwanini wanawake wanakuwa waongo ivi?

Hivi kwanini wanawake wanakuwa waongo ivi?

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,304
Reaction score
5,833
Habari wakuu,


Ilianza kunitokea siku nyinyi tu, ila sasa imezidi, wakati nipo primary hadi sekondari mabinti walitokea kunipenda sana na kunikubali sana. Hadi inafikia muda anakutamkia waziwazi kwamba kashafeel kwako. Nikawa nachukulia ni utoto + ujana unawasumpua nikawa siwakubalii wanachotaka kutoka kwangu. Dini ilikuwa inanisaidia sana kwa kufanya dhambi ya uzinifu hadi leo nachukia sana. Sasa akili imekomaa lakini yale mambo bado nakabiliana nayo kitaa tu, mwanamke anakujia kwa kukutaka, unamuuliza umeolewa anakwambia bado au hata kama nimeolewa kwani kunatatizo gani?, unamwambia sasa alichonacho mumewee mbona hata mimi ndo hicho hicho ninacho!, anakuwa hata hakuelewi, unamwambia mbona mungu hapendi hichi kitu lakini, mtihani wakukuelewa.

Hebu tiririkeni ni kwanini hawa viumbe wanakuwa waongo na kutoridhika na waume zao.
 
Habari wakuu,


Ilianza kunitokea siku nyinyi tu, ila sasa imezidi, wakati nipo primary hadi sekondari mabinti walitokea kunipenda sana na kunikubali sana. Hadi inafikia muda anakutamkia waziwazi kwamba kashafeel kwako. Nikawa nachukulia ni utoto + ujana unawasumpua nikawa siwakubalii wanachotaka kutoka kwangu. Dini ilikuwa inanisaidia sana kwa kufanya dhambi ya uzinifu hadi leo nachukia sana. Sasa akili imekomaa lakini yale mambo bado nakabiliana nayo kitaa tu, mwanamke anakujia kwa kukutaka, unamuuliza umeolewa anakwambia bado au hata kama nimeolewa kwani kunatatizo gani?, unamwambia sasa alichonacho mumewee mbona hata mimi ndo hicho hicho ninacho!, anakuwa hata hakuelewi, unamwambia mbona mungu hapendi hichi kitu lakini, mtihani wakukuelewa.

Hebu tiririkeni ni kwanini hawa viumbe wanakuwa waongo na kutoridhika na waume zao.
Weka picha nikuone alafu nikwambie kwanini wanakudanganya.
 
Labda waume zao hawawaridhishi kimapenzi ndio maana wanakudanganya wewe ili waridhishe haja zao za kimwili
 
Habari wakuu,


Ilianza kunitokea siku nyinyi tu, ila sasa imezidi, wakati nipo primary hadi sekondari mabinti walitokea kunipenda sana na kunikubali sana. Hadi inafikia muda anakutamkia waziwazi kwamba kashafeel kwako. Nikawa nachukulia ni utoto + ujana unawasumpua nikawa siwakubalii wanachotaka kutoka kwangu. Dini ilikuwa inanisaidia sana kwa kufanya dhambi ya uzinifu hadi leo nachukia sana. Sasa akili imekomaa lakini yale mambo bado nakabiliana nayo kitaa tu, mwanamke anakujia kwa kukutaka, unamuuliza umeolewa anakwambia bado au hata kama nimeolewa kwani kunatatizo gani?, unamwambia sasa alichonacho mumewee mbona hata mimi ndo hicho hicho ninacho!, anakuwa hata hakuelewi, unamwambia mbona mungu hapendi hichi kitu lakini, mtihani wakukuelewa.

Hebu tiririkeni ni kwanini hawa viumbe wanakuwa waongo na kutoridhika na waume zao.

We sio mrisho gambo kweli
Vipi umerudisha rambirambi za watu
 
We sio mrisho gambo kweli
Vipi umerudisha rambirambi za watu
Nimimi aisee, rambirambi sijarudisha, najichangachanga nikakope walau hata chopa tu
 
mkuu kama unataka tukufariji kutembea na wake za watu we tembea tu.. siku zikigandiana au ukifumaniwa tutakusaidia kukupa kiki mtandaoni...!!!!
 
Wavulana wakinunua simu ni kero bora mb zilivyopanda bei
 
Yàn umepewa kizawadi cha simu baada ya kumaliza form six HKL ndo unakuja kutusumbua.

Kuwa na adabu na baba zako
 
Back
Top Bottom