mzee wa misele
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 366
- 46
Wakuu natumaini wote wazima hivi kwanini wadada wengi wanakuwa wagumu kutoa namba za simu wakiwa kwenye sehemu ya watu wengi kama sokoni, balabalani,kanisani nini sababu?
Wewe tu ndo unabaniwa mbona me napewa popote.
Tafuta hela kwanza
Oooh sory nilisahau kama saiv ninlikizo ya mwisho wa mwaka.
Tatizo sio hela mkuu kama ni hela ninazo zakutosha
Tatizo sio hela mkuu kama ni hela ninazo zakutosha
Acha wewe
Toka lini hela zikatosha???
Wakuu natumaini wote wazima hivi kwanini wadada wengi wanakuwa wagumu kutoa namba za simu wakiwa kwenye sehemu ya watu wengi kama sokoni, balabalani,kanisani nini sababu?