Midundo
Member
- Mar 3, 2013
- 58
- 12
Jamani wadada kuna jambo huwa linanitatiza sana, mtu anakufuatilia weee unamzungusha eti kumpima imani. Alafu siku unamkuta na mwanamke mwingine unaanza kumrushia madongo, uhuni tu, ulikua unanitamani tu, hukua na nia thabiti, ndo nini sasa kunionyesha mwanamke mwingine kama mie is mwanamke!!!? Jamanii, hayo yote yanatoka wapi, kwani mi niliomba kuoa? Afu ukimwambia ulinzingua mwenyewe anaanza kujizogeza, hapo ndo huwa tunafunua, kula na kujiweka pembeni, ni hayo tu kwa leo wapendwa, mi nawapenda sana wadada, endelezeni michezo hiyo hiyo ili tuendelee kuwaliza kila kukicha.