Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 7,577
- 17,718
Tulishuhudia kwa Magufuli 2020
Walioshinda kura za maoni hawakuteuliwa, wakaja kuteuliwa mpaka walioshika nafasi ya tano..!!!
Imefika 2025, Samia nae hivyohivyo, Wagombea walioshinda wamekatwa.
Kwa utafiti wangu mdogo ni wabunge 10 ambao walishinda kwenye kura za maoni ila wamechaguliwa wengine .....
1. Ummy Mwalimu - Tanga Mjini
2. Stanslaus Mabula - Nyamagana
3. Shaban Mrutu - Tabora Mjini
4. Malecela - Dodoma Mjini
5. Luqman Merhab - Mufindi Kastazini
6. Kirumbe Ng' enda - Kigoma Mjini
7. Alexander Mnyeti - Misungwi
8. Prof Edwinius Lyalya - Magu.
9. Robert Maboto - Bunda Mjini
10. Fredrick Lowassa - Monduli
Narudia tena swali langu ....
Ikiwa NEC inajua jimbo fulani atasimama fulani, HIZI KURA ZA MAONI ZA WAJUMBE ZINA MAANA GANI??
Maana watu
1. Wanatumia muda mwingii kuomba kura
2. Wanatumia fedha kushawishi
Kifupi wagombea wanatumia rasilimali nyingii mpaka wanashinda ila NEC INAKUJA KUWAKATA....!!!!
KWANINI???
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Walioshinda kura za maoni hawakuteuliwa, wakaja kuteuliwa mpaka walioshika nafasi ya tano..!!!
Imefika 2025, Samia nae hivyohivyo, Wagombea walioshinda wamekatwa.
Kwa utafiti wangu mdogo ni wabunge 10 ambao walishinda kwenye kura za maoni ila wamechaguliwa wengine .....
1. Ummy Mwalimu - Tanga Mjini
2. Stanslaus Mabula - Nyamagana
3. Shaban Mrutu - Tabora Mjini
4. Malecela - Dodoma Mjini
5. Luqman Merhab - Mufindi Kastazini
6. Kirumbe Ng' enda - Kigoma Mjini
7. Alexander Mnyeti - Misungwi
8. Prof Edwinius Lyalya - Magu.
9. Robert Maboto - Bunda Mjini
10. Fredrick Lowassa - Monduli
Narudia tena swali langu ....
Ikiwa NEC inajua jimbo fulani atasimama fulani, HIZI KURA ZA MAONI ZA WAJUMBE ZINA MAANA GANI??
Maana watu
1. Wanatumia muda mwingii kuomba kura
2. Wanatumia fedha kushawishi
Kifupi wagombea wanatumia rasilimali nyingii mpaka wanashinda ila NEC INAKUJA KUWAKATA....!!!!
KWANINI???
#YNWA
#YANGA_BINGWA