tuwekee energy consumption yaani imeandikwa current kiasi gan per hour mfano 10Amper/hour kisha unataka kutengeneza ya power kiasi gani then utajua bettri itakaa muda gani kabla haija kwisha
kwani bettri nyingi zinafaa kutengenezea ila tatizo linakuja kuwa muda ambao betri itatumika kabla ya kuisha charge